Wednesday, 16 September 2015

TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)

LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na kujaa zinachukua muda pia

Tuesday, 15 September 2015

AUNT EZEKIEL KAYAZUNGUMZA HAYA KUHUSU KUONDOKA UKAWA KUHAMIA CCM….(AUDIO)

layiii

MAKUBWA YAIBUKA AUNT EZEKIEL NA RAY WAMEHAMIA CCM ?, STEVE NYERERE KAYAZUNGUMZA HAPA…

LAYIII....


.
.
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha Mapinduzi.

SABABU YA LILY WAYNE NA CHRISTINA MILIAN KUACHANA HII HAPA…

LAYIII
Baada ya kuachana na mchumba wake miaka miwili iliyopita mwimbaji wa R&B Christina Milian alianza kuonekana sana na rapper Lil Wayne baada ya kujiunga na lebo ya msanii huyo, muda mfupi

P-SQUARE WAONYA: SISI WABURUDISHAJI SI WANENGUAJI

layiii
Mapacha wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye.
MAPACHA wa muziki wa R&B wa Nigeria, Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square, wamesema hawataki kuitwa wanenguaji, bali waitwe waburudishaji.

PSQUARE WAWEKA HEADLINES KWA KUBUKA NA MJENGO MWINGINE HUKO ATLANTA….

LAYIII

Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta.

JINSI AZAM FC NA MTIBWA SUGAR WALIVYOTIMIZA VIGEZO VYA KUPATA LESENI YA KLABU KWA 95% (+AUDIO)

LAYIII
Klabu za Ligi Kuu soka Tanzania bara bado hazijakidhi vigezo vya kupata leseni ya kudumu ya vilabu, kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto amethibitisha vilabu vingi kushindwa kupata leseni za vilabu isipokuwa klabu ya Azam FC na Mtibwa Sugar.

MAJIBU YA MOURINHO KUHUSU MFULULIZO WA MATOKEO MABOVU NA KUELEKEA MECHI DHIDI YA KLABU YA MACCABI TEL AVIV..

layiii
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri katika michezo ya Ligi Kuu.

HABARI ZA KUSHTUA DJ FETTY ATANGAZA KUACHA KAZI YA UTANGAZAJI

LAYIII
Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty, moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment, XXL ya Clouds FM.

Monday, 14 September 2015

BAADA YA KUSHINDA PAMBANO LA 49, FLOYD MAYWEATHER ANAACHANA NA MCHEZO WA NGUMI??

LAYIII
Bondia Floyd Mayweather ni jamaa mwenye rekodi nzuri ambayo ameijenga kwa kipindi chote cha miaka yote 19 aliyoitumia kwenye mchezo wa ngumi..Usiku wa kuamkia leo September 13 2015

Sunday, 13 September 2015

HIKI NDICHO KILICHOWAKUTA ESPANYOL WALIPOCHEZA NA REAL MADRID LEO

layiii

Ligi kuu ya Uhispania imeendelea leo baada ya mapumziko ya kupisha mechi za kimataifa kumalizika, Real Madrid walisafiri mpaka jijini Barcelona kwenda kucheza na Espanyol.

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA ARSENAL VS STOKE NA MAN CITY VS CRYSTAL PALACE

layiii
Baada ya mchezo wa mchana kati ya Chelsea vs Everton, Barclays Premier League imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti nchini Uingereza.

MATOKEO YA MAN UTD VS LIVERPOOL NIMEKUWEKEA HAPA

layiii
Ule mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu baina ya wapinzania wa jadi wa ligi kuu ya Uingereza, vilabu vya Manchester United dhidi ya Liverpool umepigwa usiku huu.

Saturday, 12 September 2015

JINSI SINGLE YA ROMA ILIVYOZUILIWA KUCHEZWA KTK VITUO VYA HABARI

LAYIII 
.
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.
Msanii huyo alipokutana na ripota wa millardayo.com aliweza kuelezea sababu

PAMBANO LA KESHO LA FLOYD MAYWEATHER LINAUZA? PROMO HAKUNA? TIKETI JE?

layiii

Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao May 02 2015 lilivunja rekodi nyingi ikiwemo ya mauzo ya Ticket, ticket ziliuzwa kati ya Dola 1,500 na Dola 10,000 lakini ndani ya saa mbili tu ziliuzika zote !!

Thursday, 10 September 2015

DK MAGUFULI AKABIDHIWA FIMBO YA NYERERE

LAYIII

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara

Tuesday, 8 September 2015

GWAJIMA ATEMA NYONGO AMWANIKA DOKTA SLAA HADHARANI NI KATIKA BZ MORNING YA MAGAZETI YA LEO

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 9,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya

JINSI GWAJIMA ALIVYO MJIBU DOKTA SLAA

LAYIII
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, baada ya siku kadhaa kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Viko vya CHADEMA pamoja na Vyama vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado

TAARIFA KUTOKA OFISI YA TAKWIMU KUHUSU MFUMUKO WA BEI MWEZI AGOST 2015

LAYIII

#RIP mtu mfupi zaidi Duniani, anaefatia kushika rekodi hiyo ??( na millardayo)

layiii
Headlines zilibeba stori kubwa November 13 2014 kuhusu Sultan Kosen, raia wa Uturuki ambae ndio mtu mrefu zaidi Duniani pamoja na Chandra Dangi Raia wa Nepal ambaye alikuwa anashikilia

50 CENT KATIKA HEADLINE TENA ATANGAZA KUISHI KATIKA NYUMBA YAKE ILIYOPO AFRIKA

LAYIII
50 Cent siku zote ni mtu wa masuprise tu mtu wangu, mwezi July rapper huyo alitangaza kuwa amefilisika na idadi ya mali nyingi alizonazo si zake bali ni mali za mkopo, badaae tukasikia kuwa

Monday, 7 September 2015

Magazeti ya Tanzania Septemba 8, 2015.. Udaku, michezo na hardnews ! (na millardayo)

layiii

.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada

HAHAHAHA KWELI UKOMEDI UNAMPELEKA KINGWENDU BUNGENI

LAYIII










Mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe kupitia Cuf, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ juzi alikuwa kivutio wakati akitambulishwa na mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri, Juma Duni Haji.

Saturday, 5 September 2015

POLICE WAKIMBIA KUMUOKOA MTOTO ALIYEKUA KAFUNGIWA KWENYE GARI

layiii

Team ya polisi huko Oakland, California walipigiwa simu na wananchi baada ya mtoto mchanga kuonekana akiwa kaachwa kwenye gari na madirisha yakiwa yamefungwa. Ili

MATOKEO YA MECHI YA TAIFA STARS VS NIGERIA

layiii
Timu ya taifa ya Tanzania na Nigeria September 5 zimekutana kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2017, ikiwa ni zaidi ya miaka 20 toka zikutane katika mechi za mashindano. Nigeria inayonolewa na kocha mzawa Sunday Oliseh ndio imecheza mechi ya kwanza

SEX ROSE YA P SQURE NA MR FLAVOUR NI SHIDAAA

LAYIII
Staa wa Nigeria Mr.Flavor amewashirikisha mastaa wawili mapacha wanaounda kundi la P square katika video yake mpya inayoitwa ‘Sexy Rosey’.
Video imeongozwa na Godfather.

FIRST ELEVEN KWA TEAM ZOTE MBILI TAIFA STAR NA NIGERIA

LAYIII

Kabla ya mechi kuanza naomba nikusogezee first eleven ya timu zote mbili. Taifa Stars Vs Nigeria, mechi itakayopigwa muda mchache kuanzia hivi sasa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.

Thursday, 3 September 2015

CCM, UKAWA SIRI NJE NJE

LAYIII

Siri CCM na UKAWA nje, Mke wa DK.Slaa afichua siri, Magufuli na wazawa wa gesi, Lowassa na ‘Operation Tokomeza? (Audio).

Uchambuzi wa Magazeti @CloudsFM ni sehemu inayokupa habari zote zilizoweka headlines magazetini, kazi yangu ni kukusogezea zile kubwa kubwa kwenye vichwa vya habari…
Siri yafichuka CCM na UKAWA vyama hivyo vimeanzia kampeni nyanda za juu kusini, Mke wa

MOURINHO,RONALDO NA SMALLING WAINGIA KATIKA KITABU CHA GUINNES OF WORLD RECORD

LAYIII

Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records


Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima ya kuwemo katika kitabu hicho kutokana na rekodi zao mbalimbali.
2BEFB75200000578-0-image-m-34_1441321383669
Jose Mourinho ndio ameingia katika headlines kubwa zaidi baada ya kupewa Tuzo za Guinness World Records mara nne, hivyo ana rekodi nne tofauti zitakazo mfanya aandikwe katika kitabu hicho.

TOTTENHAM WAPATA PIGO DHIDI YA UWAMZI WAO KWA EMMANUEL ADEBAYOR

LAYIII

Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na klabu ya Tottenham Hotspur Emmanuel Adebayor, ambaye kabla ya dirisha la usajili kufungwa alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya West Ham United ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Moja kati ya wachezaji ambao tulikuwa tukitarajia kuona

bzmorning tanzania, Magazeti ya Tanzania Septemba 4, 2015.. Udaku, michezo na hardnews na (millardayo)

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 4,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines

Askofu Gwajima amemjibu Dr Slaa

LAYIII
Askofu Josephat Gwajima amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa kuwa alishiriki kama ‘mshenga’ kumshawishi mwanasiasa huyo kumpokea Edward Lowassa katika chama hicho.

HEKA HEKA UNYAMA ALIO TAKA KUFANYIWA MSICHANA WA KAZI HUKO OMAN

LAYIII

Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara ya Mambo ya nje kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu Simba Yahya amezungumza.

UGENI MPYA NYUMBANI KWA MR BLUE

LAYIII
Msanii wa muziki wa Bongo Flava Mr Blue ana asbabu kubwa sana ya kufurahia siku hii ya leo, dakika chache zilizopita Mr Blue ameshare na sisi furaha yake kubwa ya kumkaribisha mtoto wake

Wednesday, 2 September 2015

BILIONEA ROSTAM AZIZI AMUUMBUA DOKTA SLAA,ASEMA NI PADRI MUONGO WA KUPINDUKIA

layiii
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akisalimiana kwa kumbatiana na Mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Azizi 
ambaye pia ni mmoja wa wamiliki wa vyombo vya habari

Monday, 31 August 2015

MTOTO WA MCHEZAJI BORA DUNIANI KUTOKEA BRAZIL AMENIUNGA NA CLUB YA URENO

LAYIII

Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya

LIVERPOOL YAMSAJIRI MSHAMBULIAJI KUTOKA NIGERIA

LAYIII
Klabu ya Liverpool ya Uingereza haiko nyuma na yenyewe kumalizia masaa ya usajili yaliosalia vizuri, kila klabu ina angaika ili iweze kusajili mchezaji iliyekuwa inamtaka kwa muda mrefu au

SHUDIA MWANAMKE MREMBO ANAVYOIBA NA KILICHOENDELEA WALITEGESHA KAMELA

LAYIII
Jamaa wametegesha video camera sehemu alafu wakatafuta Mwanamke mrembo ajifanye mwizi wa kuchomolea watu mfukoni, hii imetokea Marekani lakini najua kama wangetegesha

HAWA NDIO WATOTO WA MASTAA WENYE USHAWISHI MKUBWA SANA MTU WANGU

LAYIII
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na ushawishi mkubwa ndani ya jamii zinazowazunguka, mbali ya kupata mikata minono ya kutangaza bidhaa mbalimbali pia wamekuwa wakizungumziwa hasa katika mitandao ya kijamii.

CHEZA KWA MADOIDO YA YAMOTO BAND IPO HEWANI SASA

LAYIII
Yamoto Band walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya ‘Cheza kwa Madoido’ chini ya Mtayarishaji GodFather.

DK SLAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NI NINI KINAENDELEA KUWA NAMI HAPO CHINI

LAYIII
Ni kweli katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa amekua kimya toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMA akitokea CCM lakini August 31 2015 kituo cha TV cha STAR TV kimetangaza kuhusu Dr. Slaa kwamba atazungumza kwa mara ya

SHERIA YA MITANDAO YAANZA KAZI RASMI

LAYIII
Huu ndio utakua mwisho wa makosa ya kimtandao Tanzania??? sababu sheria hii imepitishwa na kuanza kutumika leo mahususi kwa wote wanaotumia vibaya mtandao.

HUYU NDO MWANAMKE ANAYE TAKA KUWA RAIS WA TANZANIA

LAYIII
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 zimeshaanza tayari na tumewaona Wanasiasa mbalimbali wakisimama mbele ya Watanzania kutumia time yao kuwashawishi wapate zile

DAKTARI WA DIAMOND ATAFIA STUDIO

LAYIII
Musa Mateja na Gabriel Ng’osha
YAMEKUWA hayo! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anahofiwa kufia studio kutokana na kufanya kazi kwa muda mrefu pasipo kupumzika

KAMA HUKUJUA HAWA NI WATAYARISHAJI, NI WAIMBAJI

LAYIII

Mwimbaji na Mtayar-ishaji wa Studio ya Sharobaro, Bob Junior.
PAMOJA na kufanya kazi ya kutayarisha ngoma kali za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva lakini

advertise here