Thursday 3 September 2015

HEKA HEKA UNYAMA ALIO TAKA KUFANYIWA MSICHANA WA KAZI HUKO OMAN

LAYIII

Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara ya Mambo ya nje kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu Simba Yahya amezungumza.

Simba Yahya amesema ni kweli wamekuwa wakipata malalamiko mengi  kutoka kwa ndugu wa wasichana wanaokwenda huko lakini wengine wakienda huko wanafanikiwa vizuri.
Wameweka mkataba baina ya mwajiri na msichana anayekwenda kufanya kazi, lakini wengi wa hao wasichana hawapati mikataba hiyo kwa kupitia njia za panya.
Amesema pia kwa sasa Wizara hiyo imesitisha kutoa ruhusa ya Wasichana kwenda nchi za Uarabuni kufanya kazi za ndani ..
Msikilize hapa akizungumza na Geah Habib….

No comments:

Post a Comment

advertise here