LAYIII Ukweli vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine huko bichi
Baada ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani,
Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa
kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na
kufurahia kauli hiyo.
Shamsa ambaye mara zote alikuwa amepambwa na Bashasha, alidai Penzi lake na rapa huyo lilivunjwa na maneno ya watu.
LAYIII
Kati ya wanawake wa Kitanzania waliopeperusha bendera yetu vizuri nje
ya nchi kielimu ni Kapteni Hilda Wendy Ringo ambaye sasa ni rubani.
Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya Tambaza jijini Dar
es Salaam na baadaye Chuo Cha Urubani cha Progress Flight Academy cha
jijini Pretoria, Afrika Kusini.
Ni mwanamke wa kujivunia katika nchi yetu kwa sababu amekuwa akirusha
ndege yaani rubani. Amewahi kuhojiwa na vyombo mbalimbali vya habari
nchini na kuhusu kazi yake hiyo anasema:
“Kurusha ndege ni jambo zuri linalofurahisha.”
LAYIII
Hakika vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine
Kwa mujibu wa Diva wa Muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee, ni kwamba
hawakuwahi kuonana na Diva mwenzie Ray C kwa zaidi ya miaka 6.
Sasa juzi wakali hawa wamekutana tena, japo haijawekwa wazi ni wapi
lakini furaha ya Jaydee Hit maker wa Ndindindi ilikuwa kubwa kiasi cha
kuandika ujumbe mzito Instagram.
“Thank you for visiting me doll( Ray C) A message of Hope: Kila Mtu
Anapitia Magumu Katika Maisha