Sunday 17 April 2016

FUVU LA BINADAMU LIMEKUTWA OFISINI KWA DIAMONDPLATNUMZ

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJUA KINACHOENDELEA KUHUSU VIGODORO NDANI YA DAR
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s 
Fuvu la binadamu lakutwa limewekwa kwenye meza ya Diamond pembeni ya picha ya mwanawe Tifah.
Diamond asema ni kweli ni fuvu la binadamu, ila ni pambo tu kama mapambo mengine, yeye anamtegemea Mungu.

Wakati mwenyewe akikanusha vikali kwamba hatumii ndumba kwenye muziki wake ambao sasa umemfikisha mbali kimataifa, staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’, ameshikwa

KAMA HUKUJUA MADHARA YATOKANAYO NA UVUTAJI WA SIGARA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII
Bonyeza picha hii kujiunga nami youtube
 Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi na karibuni kutegea sikio kipindi kingine cha Ijue Afya Yako. Leo tutazungumzia madhara ya kuvuta sigara, tabia ambayo imezoeleka na watu wengi ingawa ina madhara mengi. Ili kuweza kuyajua madhara hayo kwa undani, usiondoke kando ya redio yako hadi mwisho wa
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g

advertise here