Friday 6 May 2016

MIAKA 13 IMEPITA TANGU CAMERRON WAMPOTEZE FOE,, LEO TENA WAMEMPOTEZA MWINGINE UWANJANI

Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zetu kila siku


Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika  kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaicheze Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.

DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA SHETTA NAMJUA

Like page yetu hapa SWAXBZ usipitwe na habari zinazotufikia hapa mkali wetu


 Tazama Hapa Chini Video Mpya ya Mwanamuziki Shetta ya Wimbo Unaoitwa Namjua, Video Imefanywa South Africa...
 

HABARI ZA LEO MAGAZETINI 7/5/016

ARGENTINA SASA KUONGOZA ORODHA YA FIFA DUNIANI

Like page yetu SWAXBZ usipitwe na habari zetu

s
Timu ya taifa ya Argentina bado inaongoza orodha ya kila mwezi ya FIFA ya timu bora duniani ambayo imetolewa Ijumaa.
Kwenye orodha hiyo timu ya taifa ya Ubelgiji iko kwenye nafasi ya pili ikifwatiwa na Chile.Ujerumani ni ya 5,ikifwatiwa na Uhispania na Brazil inachukua nafasi ya saba.
Timu ya bara la Afrika inayochukua nafasi nzuri kwenye orodha hiyo ya FIFA ni Algeria iliopo

JE?: NI KWELI SHILOLE HUMFIKII VANESSA KWA UZURI

Like page yetu ya facebook hapa SWAXBZ usipitwe na habari kila siku
 kiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Shilole afunguke kwenye kipindi cha 5Selekt kinachorushwa kwenye ting'a namba moja kwa vijana EATV kuwa hakuna msanii wa bongo fleva mzuri zaidi yake, mashabiki
Bonyeza picha hii kuona baadhi ya clips za shilole

https://www.youtube.com/watch?v=iAzdoV5TW1Y
wameamua kutoa ya mioyoni.

Mashabiki wamemchana Shilole na kusema kuwa yeye si mwanamke mzuri katika wasanii wanaofanya bongo fleva huku wakisema kuwa uzuri wake hausofei kabisa kwa msanii Vanessa Mdee.

Baadhi ya mashabiki walikuwa wakimpa madongo kuwa mwanamke mzuri hawezi kujianika kama yeye, huku wengine wakisema kuwa mwanamke mzuri hawezi kuwa yeye kutokana na tabia yake ya kutojiheshimu na wengine wakisema kuwa yeye hana lolote na wa kawaida kabisa.

"Kuna manzi wakuitwa Vanessa cheki yule manzi alivyo mcute wewe nani wachakuji puraaaaaaaaaaa" Africanboihacker 
https://www.google.com/friendconnect/signin/home?st=e%3DAOG8GaBerJQT2yFRtBNC4NNsXTpQnzS5VUDzQFvNVZSt40QqyZxd8sdbvaTlC9f%252FNo0C%252Boo%252BViDTuzPpYw6q%252BNJY09AIjmsOTRgnDuOCjfoQabKvOvdGSsvMo%252B3HdFAo3AujhYOOcLgY3nYrjmUxEywEkLSD8ItmTbYQ%252BlIfjONIKViAZsgzs3r9U1%252BSquthavnFflFcwbv0XwVBkiSrgniqBlxYxjVXWA%253D%253D%26c%3Dpeoplesense&psinvite=&subscribeOnSignin=1


JINSI YA KUPATA MTAJI WA BIASHARA

like page yetu facebook hapa SWAXBZ ili usipitwe na kila story inayotufikia


Karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri ambapo tunajadili changamoto mbalimbali zinazotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha.

Leo tutajadili changamoto ya ukosekanaji wa mitaji na jinsi ya kuipata. Kabla hatujaanza kujadili changamoto hii naomba niweke maoni ya wasomaji waliotuandikia kuhusu hili;

Mimi ni graduate wa diploma ya uhandisi magari, kila nikifikiria kuanza kuijajiri nashindwa kutokana na kipato cha kuanzia biashara.. je nifanyeje niweze kupata kipato cha kujiajiri?

ASIYE NA MIKONO ASHINDA TUZO YA MUANDIKO BORA

SWAXBZ
Msichana asiye na mikono ashinda shindano la muandiko bora Marekani  
Bonyeza picha hii ili habari yoyote isikupite bofya hapa
https://www.google.com/friendconnect/signin/home?st=e%3DAOG8GaBerJQT2yFRtBNC4NNsXTpQnzS5VUDzQFvNVZSt40QqyZxd8sdbvaTlC9f%252FNo0C%252Boo%252BViDTuzPpYw6q%252BNJY09AIjmsOTRgnDuOCjfoQabKvOvdGSsvMo%252B3HdFAo3AujhYOOcLgY3nYrjmUxEywEkLSD8ItmTbYQ%252BlIfjONIKViAZsgzs3r9U1%252BSquthavnFflFcwbv0XwVBkiSrgniqBlxYxjVXWA%253D%253D%26c%3Dpeoplesense&psinvite=&subscribeOnSignin=1 
Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.
Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.
Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.

advertise here