Thursday, 27 August 2015
MESSI ATANGAZWA MCHEZAJI BORA ULAYA KWA MWAKA 2014/2015
LAYIII
Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.
MUGABE APATA WAKATI MGUMU BAADA YA KUZOMEWA NA WABUNGE WA CHAMA PINZANI
LAYIII

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi
Wabunge wa upinzani Zimbabwe hawakumuacha Rais MUGABE hivi hivi…
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi
HII NDIYO KAULI YA ARSENE WENGER KUHUSU USAJIRI KLABU YA ARSENAL
LAYIII
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye
amekuwa akiwakwaza mashabiki wa klabu hiyo kwa tabia yake ya kutopenda
kutoa fedha nyingi ili apate mchezaji wa kiwango cha juu, Wenger ni kocha ambaye amekuwa na misimamo ya kutopenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu.
Hii ni taarifa kutoka kwake kwani baada
kutokubali kukiri wazi kuwa ana mpango wa kufanya usajili msimu huu,
August 27 imebidi aweke wazi kama sehemu ya kuwatuliza jazba mashabiki
wa timu ambao walikuwa wakiamini kuwa huenda kocha huyo hana mpango wa
kusajili tena msimu huu.
Subscribe to:
Posts (Atom)