Friday 31 March 2017

KIMENUKAAA..SHIGONGO AMCHANA LIVE DIAMOND,AFUNGUKA HAYA MAZITO NA MAKUBWA..!!!




Shigongo ni mmoja wa waandaji wakubwa wa matamasha kupitia ukumbi wake wa Dar Live na huenda miaka ya hivi karibuni ameshindwa kuzimudu gharama za kumchukua kutumbuiza. Kupitia Instagram, haya ndio mambo aliyoandika:

RAIS AMFUKUZA KAZI WAZIRI WAFEDHA

Kwa siku za hivi karibuni Zuma amekuwa na ushawishi mdogo ndani na nje ya chama cha ANC

HAYA NDIYO MANENO YA MWAKYEMBE ALIPOKUWA AKIMPOKEA NAY WA MITEGO




Rapper Nay wa Mitego, Alhamis hii aliitikia wito wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe kukutana naye mjini Dodoma kwaajili ya kuzungumza namna ya kuuboresha wimbo wake Wapo ambao licha ya kuikosoa vikali serikali pamoja na Rais Dkt John Magufuli umepokelewa kwa mikono miwili.

advertise here