Wednesday 30 March 2016

NI MENGI YAMEZUNGUMZWA KUHUSU FREEMASONI NDANI YA TANZANIA ILA LEO JUA ZAIDI KUHUSU JAMII HII YA SIRI NA NANI WASHIRIKI

LAYIII


HISTORIA KWA UFUPI
Freemason ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao.

Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu.

WAMEBADILISHA MIILI YAO ILI KUFANANA NA KILE WANACHOKIPENDA MAAJABU MENGINE HAYA

LAYIII
BONYEZA PICHA YOYOTE HAPO CHINI KWENDA KUONA UPUUZI WA BAADHI YA WATU WANAVYOFANYA CHUKUA MUDAWAKO PIA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KISHA MSIKILIZE MTOTO HAPPY KULE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

Rick: The Zombie Boy

MAENEO YA MAAJABU YA DUNIA

LAYIII
Leo Tunawaletea picha za maeneo ambayo yako katika mvuto wa kipekee.. Maeneo hayo yakiwa yapo yaliyotengenezwa na binadamu enzi za zamani sana na yapo ambayo kimsingi ni uumbaji wa mwenyezi mungu mwenyewe..
Embu Yatizame nawewe.

MWANAMKE MBARONI KWA TUHUMA ZA PEMBE ZA NDOVU

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUSKIA SAUTI YA MTOTO HAPPY
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanamke mmoja Magreth Mosha mkazi wa Kibaha mkoani Pwani kwa tuhuma ya kupatikana na vipande saba vya meno ya tembo.

Jeshi hilo pia linamshikilia Bw. Hamis Balewa mkazi wa kijiji cha Mbasa wilayani Malinyi kwa kukutwa na nyama ya sheshe kilo ishirini zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni moja.

JUA SABABU YA KWANINI KIATU CHA LIONEL MESSI KILIVYO WAKERA WAMISRI

LAYIII
BONYEZA PICHA YOYOTE KUSKILIZA SAUTI YA MTOTO HAPPY
 https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Messi na mtanagazaji aliyempatia viatu vyake  

Mchezaji maarufu wa soka duniani amepeana viatu vyake vya kusakata soka katika mnada wa hisani,bila kujua kwamba hatua hiyo huenda ikawakera wengine.
Hicho ndio kisanga kilichompata nyota huyo wa Barcelona alipotaka kupeana viatu vyake huko Misri.
Kisa hicho kinajiri wiki chache baada ya Messi kupongezwa kwa kutimiza ndoto ya kijana mmoja wa Afghanistan alipomtumia boli na fulana yake.

KITUNGUU SWAUMU HUTIBI ZAIDI YA MAGONJWA 25 SOMA MAKALA HII

LAYIII

Kitunguu swaumu
Kitunguu swaumu
Mungu anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila

VIJUE VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO

Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
 
Vidonda vya tumbo kwa mama mjamzito
VIDONDA VYA TUMBO KWA MAMA MJAMZITO
Mwanamke mjamzito anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Hata hivyo tafiti nyingi zinathibitisha idadi ya wanawake wajawazito wanaopatwa na vidonda vya tumbo kwa sasa ni ndogo sana.
Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo chanzo cha vidonda vya tumbo kwake.
Mwanamke ambaye ulikuwa unaumwa vidonda vya tumbo hata kabla ya kushika ujauzito unaweza kuendelea kutumia baadhi ya dawa rafiki (hasa zitokanazo na vyakula na mimea) za kutibu au kuzuia dalili za

UKWELI KUHUSU UKIMWI

LAYIII

Ukimwi
Ukimwi

Fuatana nami katika makala hii ndefu, unaweza kuzima kabisa intaneti yako wakati ukiendelea kusoma.
‘’Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwakuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, Mimi nami nitawasahau watoto wako – Hosea 4: 6’’.
Ukweli Kuhusu UKIMWI ni maelezo yanayoipinga dhana inayosema ugonjwa wa UKIMWI husababishwa na Virusi Vya Ukimwi (V.V.U) kupitia maandiko kadhaa ambayo yameshaandikwa na wanasayansi wengine

DAWA MBADALA TISA(9) ZINAZOTIBU UTI

LAYIII
· 26/10/2014
Dawa za U.T.I
Dawa za U.T.I
U.T.I ni kifupi cha maneno ya kiingereza: ‘Urinary tract infections’, ni maambukizi ya bakteria katika njia ya mkojo. Ni moja ya ugonjwa unaowakumba sana wanawake kwa sehemu kubwa ingawa hata wanaume pia wanapatwa na ugonjwa huu. Zaidi ya wanawake milioni 8 wanauguwa ugonjwa huu kila mwaka nchini Marekani peke yake.
Kama ulishawahi kupatwa na U.T.I basi hutazisahau dalili zake ambazo mara nyingi huanza kwa hitaji la

UJUWE UGONJWA WA UTI CHANZO NA MATIBABU YAKE

LAYIII
ugonjwa wa uti

UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima. UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili. Kwa kifupu ugonjwa wa UTI hushambulia viungo vinavyohusika katika

advertise here