Monday 9 March 2015

KILE ULICHO NGOJA KUTOKA APPLE IKI HAPA

Saa babu kubwa inayo tamba mtaani kwa sasa kutoka kampuni ya apple ni nouma. imetengenezwa kwa madini ya aluminiamu yenye samani ya dola za kimarekani $349
imeanza kuuzwa kwa dola 549 yenye version ndogo mpaka dola 1049  version kubwa nini kikubwa ni kwamba apple edition inayotamba mtaani inauzwa kwa dola 10000 za kimarekani
http://a.abcnews.com/images/Technology/AP_apple_watch_functions_jtm_150309_4x3t_384.jpg nini hasa

MISS TANZANIA ACHANGIA KILO MOJA YA DAMU

MISS TANZANIA NAMBA TATU 2014 AONGOZA WAKAZI WA DAR KATIKA KUCHANGIA DAMU

Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania 2014,Doris Mollel akishiriki zoezi la uchangiaji damu ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Siku ya wanawake Duniani,iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es Salaam leo. Kushoto Ofisa Muuguzi kutoka Benki ya

UKIFUNGWA UTATAMANI UKIMBIE UWANJA UKAJIFICHE JAMANI DAAAH EMBU CHEKI JENEZA LA ...... TAIFA JANA

Ibrahimu Mussa na Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MASHABIKI wa Yanga na Simba jana almanusura wazichape uwanjani, baada ya mashabiki wa Simba, Tawi la Karume kuingia uwanjani na mfano wa

MADAMUUUU WEMA SEPETU NDANI YA STUDIO ZA RADIO 5 ARUSHA

NI NOUMA NDANI YA RADIO 5 ARUSHA YAAANI NI HAPATOSHI A TAWOO CHEKI SNAPE ZAKE HAPA WANGU
SAM_1388
Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party

KWA MAMBO HAYA MWENYEZI MUNGU ATUNUSURU KWA KWELI DUUU

Mtoto albino, Baraka Cosmas (6) anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa jana ameshambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana kisha kutokomea nacho kusikojulikana.

INACHEKESHA KWELI ETI WEMA NAYE KAWA MBOGO TEHE TEHE

Stori: Imelda Mtema/ijumaawikienda
STAA wa sinema asiyekaukiwa matukio Bongo, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

HEMED NAYE NOUMA PAMBAZUKA NA YALIYOMO MTU WANGU NI SHEIIIDAAA

Hamida Hassan/ijumaawikienda
Kha! RB namba KTN|RB/11213/2014 –UTAPELI inamsaka msanii wa muziki na sinema za Kibongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ tangu mwaka jana, akidaiwa ‘kuchikichia’

MRITHI WA DIAMOND NI SHEEEEEDAAA MCHEKI PEN HAPA

Mwandishi wetu/ijumaawikienda
Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi

swaxbz on poz full kula hewa at malumbi beach resort tamarindiiii

get tayari am comming with habari moto  moto za ukweeee mpo hapo watu wangu like page hii kila siku upate lates news

advertise here