Tuesday 10 November 2015

UKUBWA WA MAKALIO KWA WANAWAKE YAONEKANA NDIO CHANZO KIKUBWA KUBAKWA NA KUTONGOZWA NA WANAUME WENGI

LAYIII
Imeonekana wanawake wenye makalio makubwa ndio walio na ushawishi mkubwa sana kwa wanaume.hali hiii imechunguzwa na kugundulika ndio hali pekee inayo pelekea wanawake wengi kubakwa na kutongozwa tongozwa na wanaume zaidi ya kumi kwa siku moja




Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi.  Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio yaliyopinda kwa kiwango cha 45.5  Aidha zaidi ya asilimia 30% walisema wangalimchukua mwanamke mwenye makalio makubwa zaidi ya yule waliye naye sasa.  Kwa mujibu wa utafiti huo katika miaka ya awali mwanamke aliyeonekana kuwa na makalio makubwa alipendelewa kutokana na uwezo wake wa kubeba mizigo mgongoni.  Isitoshe mwanamke kama huyo aliwavutia wanaume wengi na hivyo kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi.  Aidha mwanamke mwenye makalio makubwa angeweza kustahili uzito wa mtoto aliyebebwa tumboni na hata kustahilimi makali ya uzazi kuliko wale wenye makalio wastani.

KATIKA MAAJABU SABA YA DUNIA UWANJA WA NDEGE WA BEIJING UMECHUKUA NAFASI YA KWANZA

LAYIII

Seven modern wonders in the world: Beijing airport ranks the first 

From Britain to the Middle East and China, engineers and architects are pushing the boundaries of possibility as they strive to create the biggest and the best. The Guardian recently selected seven wonders to-be in the modern world which are near completion. Among these, Beijing Daxing Airport ranks the first and Hong Kong-Zhuhai-Macao Bridge ranks the third.
BONYEZA PICHA UJIUNGE NAMI YOUTUBU
No.1 Beijing Daxing Airport, China
Beijing Daxing Airport, which is set to be the biggest airport in the world, is designed by Iraqi-British architect Zaha Hadid. The new Terminal One will have a radial-like plan, designed to reduce

YAJUE MAJIBU YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUULIZWA SWALI KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUSIKIA MANENO YAKE
Inawezekana ulikuwa na maswali mengi kuhusu mipango ya harusi ya staa wa Bongo Fleva Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz na Zari sasa basi ameyajibu kupitia kipindi cha Mseto cha Citizen kinachoendeshwa na Willy Mtuva.

CRISTIANO RONALDO KAZINDUA MOVIE YAKE LONDON, FERGUSON, MOURINHO NA ANCELOTTI NDANI (+PICHAZ&VIDEO)

LAYII
kuona baadhi ya crip zavideo yake unaweza kubonyeza picha yoyote hapo kisha subscribe youtube ili niwe nakupa update mpya
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo usiku wa November 9 alifanya uzinduzi rasmi wa movie yake ambayo anataja kuiandaa kwa ajili ya mashabiki wake, Ronaldo kafanya uzinduzi movie yake inayoitwa ‘Ronaldo’ akiwa pamoja na mama yake na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior.

advertise here