Wednesday 4 January 2017

TOTTENHAM YASIMAMISHA CHELSE 2-0

Dele Alli alikuwa nyota wa mchezo
Tottenham imefutilia mbali ndoto ya Chelsea kutaka kuweka historia katika ligi kuu ya England kwa kushinda michezo 14 baada ya vinara hao kuchakazwa 2-0 White Hart Lane.
Spurs wamekwaa mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi baada ya Dele Alli kufunga magoli yote mawili kwa njia ya kichwa hii ikiwa ni mwishoni mwa kipindi cha kwanza na dakika ya 54.

TANESCO MMOJA AJIHUDHURU WAKURUGENZI WASIMAMISHWA KAZI

Wakuu huku Tanesco hali si shwari mpaka sasa Wakurugenzi wetu watatu wameshushwa vyeo na kuhamishiwa katika chuo cha TANESCO (TSS).

Declan Mhaiki aliyekuwa Deputy Managing Director - Transmission
Sophia Mgonja aliyekuwa Deputy Managing Director - Distribution

UNDANI WA MWANAMKE ALIYETAKA KUMEZWA NA NYOKA MKUBWA HUKO INDIA


 BONEZA PICHA KUONA VIDEO USIACHE KUSUBSCRIBE KATIKA CHANNEL YETU YOUTUBE ILI YAKUFIKIE MAZURI KILA SIKU MTU WANGU
http://go.ad2up.com/afu.php?id=939049
PLAY VIDEO HAPO CHINI USIACHE KUSUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU YOUTUBE

EPUKA KUMWAMBIA MJAMZITO MANENO KAMA HAYA

Licha ya kuwa na changamoto nyingi, ujauzito ni hatua yenye faraja kubwa sana wanawake wengi. Kwani kila mmoja huwa na matumaini makubwa kwa kile alichokibeba tumboni.

Hakuna ubishi kuwa mama anapokuwa katika hali hii hupenda kuishi maisha yasiyo na bughudha ama rabsha. Pamoja na kuwa watu wengi hukubaliana na changamoto zinazowapata wanawake

ALIYEZIKWA KISIRI KUFUKULIWA


Familia moja  jijini Arusha inadaiwa kumzika kwa siri mtoto wao mdogo wa kike wa miaka mitatu katika kaburi lililofichwa, huku majirani wakidanganywa kuwa binti huyo yupo hai.


Taarifa za kisa hicho cha kusikitisha zimevifikia vyombo vya usalama. Kwa sasa kuna mipango ya kuhakikisha kuwa mwili wa binti huyo, Nuru Losipha aliyezikwa kwa siri na familia yake,

ARSENAL ILIVYO PAMBANA KIUME NYUMBANI KWA BOURNEMOUTH

Olivier Giroud alikuwa mchezaji bora wa mtanange huo
Arsenal imeambulia alama moja nyumbani kwa Bournemouth baada ya kutoka nyuma kwa magoli 3-0.
Ilikuwa nii kama kutimiza lengo kwa the Gunners baada ya kufunga magoli matatu ndani ya dakika 20, kabla ya hapo Bournemouth ambao walikuwa wenyeji walikuwa wakiongoza kwa magoli 3-0.
Alexis Sanches alianza kuiandikia bao la kwanza Arsenal dakika ya 70 kabla ya Lucas Perez

advertise here