Wednesday 23 November 2016

MBWANA SAMATTA ALIVYOIKOSA TANO BORA YA WACHEZAJI AFRIKA


Shirikisho la soka barani Africa (Caf) limetoa orodha ya majina ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mwaka 2016, jina la mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta halipo katika orodha ya wachezaji hao waliofanikiwa kuingia tano bora.


WCB YAINGIA UBIA NA LEBO KUBWA YA MUZIKI DUNIANI UNIVERSAL MUSIC

Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo

advertise here