Friday 15 April 2016

ZITAMBUE SIMU FEKI HAPA USIJE ZIMIWA SIMU BURE

LAYIII
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
1. Kabla hujanunua simu mpya hakikisha unaandika namba hii *#06#, kwenye simu hiyo au ambayo tayari umenunua.
2. Ukishaandika itaonyesha namba ya pekee (serial number) au IMEI (International Mobile Equipment Identity) ambayo ni lazima ziwe tarakimu 15 au zaidi na ni lazima ianze na 35.
3. Angalia kwa makini kama namba unazoziona zinafanana moja kwa moja na namba zilizoandikwa katika simu yako kwenye sehemu ambayo betri inakaa. Namba hizi zinapaswa kufanana kwa simu ambayo ni halisi. Kama hazifananani simu hiyo ni feki.

AKUZA MAKALIO YAKE KWA KUTUMIA DAWA ZA KUKUZIA KUKU WA KISASA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUONA VIDEO YA WALIOKUZA MAKALIO YAO USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
"I had always wanted to have a bigger butt since high school i felt my figure one shape wasn't sexy enough and made me unattractive to men, i never got to be hit on by men as much which as a lady got me worried and concerned. When i joined campus all my friends were getting hooked up but me, a friend advised me to buy the booty pads which i bought at 3k in town, surprisingly i started getting advances but my fear of going to bed and the man discovering the secret kept me away from sleeping with them,i felt lonely inside i couldn't get to enjoy"

YULE MTU MREFU DUNIANI SASA YUPO NCHINI MAURITIUS

LAYIII
Hivi kwa halii hiii vigodoro vitaisha dar kweli bonyeza picha hii kushuhudia vigodoro vya wanafunzi flani maeneo flani
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Sultan Kösen ana urefu wa futi 8 na inchi 3 au mita 2.51.
Mtu mrefu zaidi duniani raia wa Uturuki Sultan Kösen aliye na urefu wa futi 8 na inchi 3 au mita 2.51 amewasilia nchini Mauritius leo asubuhi.
Sultan alilakiwa na umati katika kisiwa hicho cha bahari ya Hindi, kwa mujibu wa taarifa zilizowekwa kwenye ukusara wa facebook wa mtandao wa habari wa nchi hiyo.

KIARABU CHA PIGWA MARUFUKI KATIKA MISIKITI NCHINI UJERUMANI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Kiongozi wa chama cha Conservative cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.
Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za

BOBOA BOMOA INAZIDI KUPIGWA KALENDA

LAYIII
Bomoabomoa iliyoanza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye maeneo mbalimbali ya mabondeni ikiwemo kwa maeneo yaliyo kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya wakazi wa Tabata Segerea kufungua kesi kupinga ubomoaji wa nyumba zao. 
April 15 2016 ilikuwa ni siku ambayo kesi ilitakiwa kutolewa hukumu katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi lakini taarifa iliyotoka ni kwamba Jaji Fredrica Mgaya aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo anaumwa. Wakizungumza na millardayo.com Diwani kata ya Tabata, Patrick Assenga na Mbunge wa viti maalum Segerea, Anatropia Theonest, wamesema …..

DOWNLOAD : GODZILLA MWASITI SINGO MPYA

LAYIII
Ni siku kadhaa tangu rapper Godzilla aichie single yake iitwayo ‘I Get High’, sasa time hii anakualika kuisikiliza hii single mpya inayoitwa First Class aliyomshirikisha Mwasiti.
Isikilize hapa

advertise here