Sunday 22 May 2016

AFANYA JARIBIO LA KUJIUA KWA KUJITUPA KATIKA SHOMO WALIMOJAA SIMBA

LIKE PAGE YETU HAPA 
BONYEZA PICHA HII KUSUBSCRIBE NASI YOUTUBE 
mountian lion tearing apart bloodied deer carcaus

ALI KIBA NA DIAMONDPLATNUMZ KIMENUKA TENA

LIKE PAGE YETU HAPA
Kimenuka! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mafahari wawili wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kutupiana vijembe vya kufa mtu baada ya kuwepo kwa madai ya Kiba kuhujumiwa.

Kwa mujibu wa chanzo makini, ili kuweka hujuma ya kibiashara, hivi karibuni, pamoja na kukanusha mara kadhaa kutokuwa na tatizo na Kiba, Diamond alidaiwa ‘kutengeneza’ kwa makusudi penzi la mwigizaji Jacqueline Wolper Massawe na msanii wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulhan ‘Harmonize’ kisha kuvujisha video ya uhusiano huo mpya siku ambayo Kiba alikuwa akiuachia wimbo wake mpya wa Aje (Jumamosi iliyopita), lengo likiwa kuhamisha upepo mashabiki kutoka

VOLKANO IMEUWA WATU SABA

LIKE PAGE YETU HAPA
BONYEZA picha hii subscribe kuona tukio lingine la mauwaji
https://www.youtube.com/watch?v=8B2S3rtS304&feature=youtu.be
Idadi ya watu waliofariki kufikia sasa Nchini Indonesia imepata na kufikia saba.
Watu hao wamefariki na wengine kadhaa kupata majeraha mabaya baada ya kuchomwa na gesi iliyochangamana na moshi wa volkeno baada ya mlima

advertise here