Friday 18 September 2015

COLLABO YA STEREO NA AY, ‘STAY’ YA GODZILLA KWENYE DOCUMENTARY, ALBAMU MPYA YA HEMED PHD JE?..#255

LAYIII
Kwenye zile headlines za burudani leo Rapper Stereo amesema wakati wa kufanya kazi na AY umefika na sasa wanatarajia kuachia bonge la ngoma na itatoka wakati wowote chini ya Studio za MJ Records..pia leo anatarajia kutambulisha kichupa chake cha ‘Ilala na Ukonga’ akimshirikisha Chid Benz.
STEREO
Stereo
Godzilla aliachia ngoma ya ‘Stay’ na sasa anatarajia kuachia Video yake pamoja na Documentary… yupo katika mazungumzo na waandishi mbalimbali watakaomsaidia kuandika script ili kukamilisha

COLLABO NYINGINE YA LIL WYNE FEAT.CHRISTINA MILIAN ISIKUPITE WEEKEND HII MTU WANGU

LAYIII
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao.

LIST YA VIWANJA 10 VYA NDEGE AMBAVYO NI VYA GHARAMA ZAIDI DUNIANI…(PICHAZ)

layiii
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
11
1. Kansai International Airport –Japan: kimetumia dola bilioni 20 kujengwa

HAYA NI MAISHA MENGINE YA KOCHA JOSE MOURINHO NJE YA SOKA…

layiii
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.

advertise here