Sunday 30 August 2015

BINADAMU WA AJABU ANAYEFANYA KAZI NYINGI KWA MASAA

LAYIII
KUMBUKA HII IMEKAA KIUDAKU ZAIDI NOT PROVE ZEN LETS GET TOTHE POINT OK
 ......MAAJABU YA DUNIA.....
Huyu ndie binadamu wa hatari zaidi na mwenye maajabu Duniani na anasifa kuu 7.
1:Anauwezo wa kufanya kazi kwa wiki bila kula.
2:hakuzaliwa na Mama,bali alizaliwa na Baba.
3:Anauwezo wa kutabiri ya kesho nayakawa sawia.
4:Anaongea zaidi ya lugha zipatazo 10,000.
5:Anaweza kutembea umbali mlefu bila kupumzika.
6:Hakuwahi kunyonya maziwa kwa mama wala ya mnyama.
7:Alizaliwa anajuwa kuongea,pindi alipokuwa na umri wa siku 3.
NINI MTAZAMO WAKO KWA KIUMBE HUYU.


HUU NDIO UFUNGUZI WA KAMPENI ZA ACT CHINI YA KIONGOZI WAO MKUU ZITO KABWE

LAYIII

Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo

MAGUFULI KAKANA KULAZWA ICU,SUMAYE ALIPUKA, RICHIMOND.........KUHUSU MWAKYEMBE



MWANANCHI
Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

advertise here