Saturday 14 May 2016

BINTI WA KITAJIRI ALILIA PENZI LA CHOKORAA

 LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
Unaweza bonyeza picha ukacheka mwenyewe video ya huyu mtoto na udaku huu usiache kulike page yeu na kusubscribe nasi youtube
https://www.youtube.com/watch?v=QadvKOg7guc
LEO stand ya mabasi nikiwa naenda kumsindikiza rafiki yangu....nikamuona binti mrembo saana! Aliyevaa nguo za thamani kubwa sana yaani ukimuangalia huna haja ya kujiuliza mara mbili kuwa huyu ni tajiri au mtoto wa tajiri flani ...basi yule binti mrembo alishuka katika gari ya bei mbaya Range Rover SUV huku akiwa analia...na akiwa amempigia magoti mkaka mmoja mchafu aliyedhoofu sana inaonyesha labda alikuwa hapati chakula yaani ukimuangalia haraka huwezi

ALIYEDANDIA NDEGE HUKO KENYA NI STORI NYINGINE VIDEO YAKE IKO HAPA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HUTAPITWA NA CHOCHOTE HAPA
BONYEZA PICHA YOOTE KUIONA VIDEO NZIMA YA TUKIO HILI 
Ndege
Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada ya kudandia helikopta ambayo imepaa na kuondoka naye.
Helikopta hiyo ilikuwa imesafirisha mwili wa mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma aliyeuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi wiki iliyopita, vyombo vya habari nchini Kenya vinasema.
Video zinazosambaa mtandaoni zinaonesha helikopta hiyo ikipaa juu angani kutoka uwanja wa Posta, mwanamume huyo akiwa amejishikilia kwenye vyuma vya helikopta hiyo.
Taarifa zinasema baadaye ndege imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Bungoma na mwanamume huyo akapelekwa hospitalini.

KIMENUKA TENA WEMA NA OMMY DIMPOZ WABAMBWA LIVE KILICHOENDELEA STORY NYINGINE

Like page yetu ya FACEBOOK hapa hutapitwa na habari zetu kamwe
unaweza pia bonyeza picha yoyote hapo kujua nini kiliendeleaa kwa njia ya video usiache kusubscribe nasi youtube mtu wetu
https://www.youtube.com/watch?v=QadvKOg7guc
LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza habari, amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo.

PICHA ZADHIHIRISHA
Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kuvuja kwa picha mpya za wawili hao wakiwa chumbani katika mapozi ya kimahaba huku wamevaa mavazi ya kulalia (angalia picha Uk. 1).
Picha moja wapo ilimuonesha Dimpoz akiwa amemwekea miguu Wema mgongoni huku nyingine

YANGA IMEKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU VODACOM TANZANIA BARA ......

Usipite bila kulike page yetu hapa FACEBOOK kama unapendezwa na habari zetu
bonyeza picha hii hakika hutapitwa na habari yoyote kwa njia ya video kama utasubscribe nasi youtube
https://www.youtube.com/watch?v=mcgVq69bym4
Waziri na Kilimo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimkabidhi Kombe

advertise here