Thursday 23 June 2016

KAAMKA NA NYOKA KITANDANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE KUONA VIDEO KALI KILA SIKU
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia katika chumba cha kulala.
Mwenye nyumba hiyo Trina Hibberd kutoka eneo la Queenland aliamka siku ya jumatatu na kumuona nyoka huyo mwenye urefu wa mita 5.2 amejipinda katika kitanda chake.
Aliwasha taa ya chumba hicho kabla ya mtaalam wa kushika nyoka Dave Goodwin kuwasli.

KOREA YA KASKAZINI YADAI UWEZO WA KUIRIPUA MAREKANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE HUTAPITWA NA VIDEO ZOZOTE KALI
https://www.youtube.com/watch?v=RiSRyfG4FeM
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amesema kuwa taifa lake linauwezo wa kushambulia maeneo ya Marekani, katika bahari ya Pacific.

KUMBE HONG KONG NDO MJI WA GHALI DUNIANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE HUTAPITWA NA VIDEO KALI
https://www.youtube.com/watch?v=mTFQTl-J334
Mji wa Hong Kong ndio mji ghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola kulingana na wafanyikazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.
Luanda ambao ulikuwa unaongoza orodha hiyo katika siku za hivi karibuni ulishuka kufuatia kudhoofika kwa sarufi yake.

RIHANNA ATOKWA NA MACHOZI KATIKA TAMASHA CHANZO HIKI HAPA

SUBSCRIBE HAPA ILI USIPITWE NA VIDEO KALI KILA SIKU HAPA 
https://www.youtube.com/watch?v=8hLupLJKJsw
Nyota wa muziki Rihanna alibubujikwa na machozi wakati wa tamasha mjni Dublin usiku wa kuamkia jana baada ya kuwasili akiwa amechelewa kwa dakika 30 katika ukumbi huo.
Mwanamuziki huyo alijawa na hisia wakati alipoanza kuimba wimbo wa 'Love The Way You Lie' aliyoimba kwa ushirikiano na mwanamuziki Eminem.
Mashabiki waliweka picha na video za mwanbamuziki huuo katika mitandao ya kijamii wakionyesha wasiwasi wao kuhusu kile kilichotokea.
Rihanna hakuelezea ni nini kilichotokea mbali na kuandika ujumbe kwatika mtandao

BABA WA DIAMOND PLATNUMZ AZIDIWA TENA

SUBSCRIBE HAPA KWA HABARI KWA NJIA YA VIDEOS
https://www.youtube.com/watch?v=PYv0tojX3rYMaskini wee! Baba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma ‘Baba D’ anaumwa sana! Ndivyo Risasi Mchanganyiko linavyoweza kukuhabarisha baada ya mzazi huyo kuzidiwa ghafla na kukimbizwa hospitalini kutibiwa kwa msaada kutokana na kukosa fedha, twende hatua kwa hatua.

NI JUMAPILI ILIYOPITA
Tukio hilo la kusikitisha la baba mzazi wa msanii ambaye anatajwa kuwa na ukwasi wa kutosha Bongo, lilijiri Jumapili iliyopita ambapo kwa msaada wa Dk. Fadhili Emily wa Kituo cha Tiba cha Fadhaget Sanitarium kilichopo Mbezi Beach-Africana, Dar, baba Diamond alifikishwa kutoka nyumbani kwake Magomeni-Kagera hadi hospitalini hapo na kupatiwa matibabu.

advertise here