Saturday 2 April 2016

RAILA ODINGA ATUA CHATO NYUMBANI KWA MAGUFULI KWA KUTUMIA HELKOPTA BINAFSI

LAYIII
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisemamimi na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike, pia nimekuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijaja hapa Chato na nilisema siendi Dar, nitakuja hapahapa Chato

GARI LA KIFAHARI LA POLICE LAMFANYA MKOSAJI ASAHAU FAINI HUKO DUBAI

LAYIII
Dubai ni moja ya sehemu ukienda kwa mara ya kwanza utajikuta unashangaa tu tena kama wewe ni mpenzi wa magari makali na maisha mengine ya kifahari ndio kabisa maana kuanzia watu binafsi mpaka Jeshi la Polisi wanayo magari ya kifahari kama Ferrari, Bugatti na Lamborghini ambayo wengi wetu tumezoea kuyaona kwenye video za mastaa wa dunia kama kina Nicki Minaj, Chris Brown na wengine.

DOWNLOAD NYIMBO MPYA YA KAI BOY DEAR GOD

LAYIII
NONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE MTU WANGU
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

JE ULIIJUA HIII ------- AFANYIWA UPASUAJI MARA 25 ILI KUONDOA TATUU ZILIZOKO USONI KWAKE

LAYIII
 BONYEZA PICHA KUMSIKILIZA MTOTO HAPPY KISHA SUBSCRIBE NAMI YOUTUBE ILI KILA SIKU UPATE VIDEO KALI ZA MATUKIO
http://images.postr.hu/uploads/blogs/1496/122060/post_122060_20130317222102.jpg
Kijana mmoja ambae alikuwa kiongozi wa Wahuni nchini ujerumani alifanyiwa operation mara 25 usoni kwake ili kufuta tattoo zilizopo usoni mwake.

UNAJUA NAMANA YA KUZUGUSHA KIUNO NA KUMRIZISHA MMEO JIFUNZE HAPA

LAYIII
bonyeza picha hii kujifunza zaidi

Sio siri licha ya kuwa na pilika nyingi mchana kutwa lakini unapoingia usiku hasa kwa wale wanao ishi na wenza wao ni vyema kufarijiana kwa njia hii, ili kuchangamsha mwili na akili kwani kujua kupika na usafi ni mambo ya kawaida lakini  katika nyanja za usiku inabidi uwe fundi na ndio maana www.swaxbz.com imeamua kukujuza ni jinsi gani unaweza kutaka ili

OBAMA: TRUMP HAELEWI SERA ZA KIGENI

LAYIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk
Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu! Haya ni kulingana na rais wa Marekani Barrack Obama. Obama ameyasema haya kufuatia matamshi ya Donald Trump kuwa

KIWANGO CHA PESA ANACHO LIPWA DK MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

LAYIII
 BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
Baada ya baadhi ya Wabunge wa vyama vya upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya kodi, President Magufuli ambaye ni Rais wa awamu ya tano kwenye Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekubali kuutaja mshahara wake.
Kama kawaida yake yeye ni shabiki wa kipindi cha TV cha Clouds 360 on CloudsTV ambacho alikipigia simu kwa suprise March 17 2016, sasa wakati anatazama kipindi hicho April 1 2016 akiwa

NA UPDATE KUTOKA TRACE TV HIZI NDIO VIDEO 10 BORA ZENYE WATANZANIA WANNE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Headlines za Tanzania zinazidi kuwa nyingi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho Wasanii wengi wamekua wakililia au kutamani video zao zionyeshwe hapo kutokana na ukubwa wa Station hiyo na nguvu yake iliyosambaa sehemu mbalimbali Afrika.
Leo March 31 2016 kupitia kituo hicho kilitoa video 10 bora za Africa zinazofanya vizuri zikiwemo mbili kutoka Tanzania Navy Kenzo – Kamatia, Ay ft Diamond Platnumz – Zigo Remix

VIDEO MPYA YA RIHANNA "KISS IT"

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Ipokee na hii ‘kiss it better‘ video mpya ya Rihanna ambaye February 20 2016 alitimiza umri wa miaka 28, single yake ambayo imelia sana masikioni na imepita sana kwenye TV zetu ni work ft. Drake aliyoiachia February 22 2016 na imeshika namba

advertise here