Friday 3 April 2015

ETI DAR KUNA KELELE E BANA EEE MIJI HII NI NUKSI KWA KELELE DUNIANI

SWAXBZ LAYIIIII BLOGGER
nyc-skyline
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.

BAADA YA MUDA KIDOGO NANII AKIWA RAISI DAR USAFIRI NI HIVI

NA SWAXBZ LAYIIIIII
Tram 5Nakupeleka moja kwa moja kwenye jiji la Barcelona Spain, ni jiji ambalo mpaka mwaka 2011 lilikua na watu zaidi ya milioni moja na laki sita ndani yake na sasa wanasema kuna zaidi ya watu milioni 5 ambapo ni jiji la pili kwa ukubwa kwenye nchi ya Hispania.
Barca 3Unaambiwa usafiri huu wa Tram ulianza kufanya kazi kwenye mji wa Barcelona toka mwaka 1872 lakini barabara zilizokua

advertise here