Thursday 10 March 2016

MASTAA WANAVYO TUMIKA KUKAMATA VIGOGO WAUZA UNGA

LAYIII
 USIACHE KUSUBSCRIBE NAMI YOUTUBE BONYEZA PICHA
MASOGANGE5Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’
Stori: Sifael Paul, Ijumaa
Dar es Salaam: Mjini hakukaliki! Mkakati wa Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ wa kupambana na biashara haramu ya dawa za kulevya ‘unga’ hapa nchini, umeiva ambapo uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba unawatumia baadhi ya mastaa Bongo kuwakamata vigogo wanaojihusisha na biashara hiyo.

UKISTAAJABU YA MUSSA HUTAYAONA YA FILAUNI CHEKI PICHA HIZI NA USTAAJABU

LAYIII
Tafadhari waweza bonyeza picha kisha jiunge nami youtube mtu wangu kushuhudia nami maajabu hayo usiache kusubscribe youtube

https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA

SKIA ALICHOSEMA NAJ KUHUSU KUTOKA KIMAPENZI NA BARAKA DA PRINCE

LAYIII
  Bonyeza picha kujiunga nasi youtube
Msanii bongo fleva Naj amevunja ukimya na kusema kuwa yeye hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na msanii Baraka da Prince.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuenea habari kuwa anatoka kimpenzi na msanii huyo na kusisitiza kuwa Baraka ni rafiki yake wa karibu na hakuna zaidi.

advertise here