Thursday 11 June 2015

UKONGWE SI ISSUE BANA EEE KULA KITABU UFANIKIWE NDUGU YANGU CHEKI KALI HIII

LAYIIIII ON SPOT
bibito
Kila mmoja anatambua kuwa elimu haina mwisho na kadri miaka inavyokwenda watu wengi wamekuwa wakitambua nini maana ya elimu huku wengi wao wakiamua

MWANARIHADHA MLEMAVU OSCAR PISTORIUS KUACHIWA MWEZI AGOSTI

NA LAYIIII ON SPOT
Oscar Pistorius akilia wakati wa hukumu yake.
MWANARIADHA maarufu nchini Afrika Kusini ambaye ni mlemavu, Oscar Pistorius huenda akaachiwa huru mwezi Agosti, mwaka huu baada ya kukaa jela kwa miezi 10.

FACEBOOK YACHAFUKA KISA MWANADADA WA SHEPU YA AJABU KUTUPIA PICHA ZAKE KATIKA MTANDAO HUO

NIFATILIA HAPA
LAYIIIII ON SPOT

HII NDIO SASABU YA WASICHANA WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI>>HEBU MCHEKI BIDADA HUYU ALIOVYOWEKA PICHA ZAKE FESIBUKU

haya sasa mimba ya zari si ya diamond a.k.a chibuuuu..........nifate hapa chini

na layiii
Mwandishi wetu
OHOOO! Wakati Nasibu Abdul ‘Diamond’ akijinadi kwa mbwembwe kuwa anategemea kiumbe kutoka kwa mwandani wake Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’, ubuyu mpya wa mjini unadai kuwa mimba aliyobeba mrembo huyo si ya Diamond, Amani limemeza sababu za kutosha.
Mwandani wa mbongo fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo chetu kilicho karibu na Diamond anayesumbua kwa sasa na wimbo wake wa Nana, tangu habari ya ujauzito wa mlimbwende huyo mwenye asili ya Uganda ianze kupamba vyombo mbalimbali vya habari, watu walio karibu na staa huyo hawakuziamini.

advertise here