Sunday 28 June 2015

VANESSA NILIFANIKIWA NILIPO FIKA STUDIO ZA MILLADAYO

LAYIII
Interview ya Vanessa Mdee alipokuja kwenye studio za Millard Ayo ! kawataja Tunda Man na Baby J
vTunae mwimbaji wa bongofleva Vanessa Mdee kwenye hii post ambaye kapita TZA kwenye studio za Millard Ayo na kuzungumzia mafanikio yake mapya aliyoyapata hivi karibuni nje ya Tanzania.

BZMORNING NA MAGAZETI YA LEO 29/06/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako

JK ALA SHAVU SIKU YA MAGEREZA {MAGEREZA DAY}

BZNEWZ ULITAKA KUJUA JINSI JK ALIVOKULA SHAVU MAGEREZA DAY NICHEKI HAPA
RAIS  wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amelisifia Jeshi la Magereza kwa jitihada zao nzuri katika utendaji kazi pamoja na chagamoto nyingi walizonazo.

RAIS JK AIFAGILIA MAGEREZA DAY

Rais Dk. Jakaya Kikwete akipokea heshima ya Wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili katika Viwanja  vya Chuo cha Maofisa Magereza kilichopo Ukonga jijini Dar.

KUTANA NA KINDA MWINGINE ANAYE KWENDA KUTUA CHELSEA KUTOKA BRAZIL

LAYIII
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa 

Kinda mwingine kutoka Brazil anayetua Chelsea huyu hapa…

kenn
Wakati klabu mbalimbali barani Ulaya zikiendela na harakati zake za kufanya usajili ili kuimarisha timu zao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya Engalnd, tayari kuna taarifa kuwa klabu ya Chelsea

KUTANA NA VIDEO YA ALIKIBA KWA MARA YA KWANZA KATIKA TRACE TV HAPOKESHO

LAYIII
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.
Sasa good news ninayotaka kukusogea ni kwamba video hiyo mpya iliyotayarishwa Afrika Kusini inatarajiwa  kutambulishwa kesho June 29 kama ‘Exclusive’ kupitia kituo cha TV

Kwa mara ya kwanza video ya Ali Kiba inaoneshwa kesho kwenye TV

.
.
Ali Kiba  ni staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya single ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.

LUKUVI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI IRINGA

BZMORNING TANZANIA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akizungumza na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na wale wa sekta ya ardhi na Sekretarieti ya Mkoa wa Iringa ambapo alisisitiza Shirika…

WAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiwasili kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayoub huku Meya wa Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akishuhudia.

advertise here