Tuesday 23 February 2016

ALIKIBA KWENDA NIGERIA MWEZI UJAO UBUYU WATEMA MAKUBWA

LAYIII





Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba, mwezi ujao anatarajiwa kukwea pipa hadi nchini Nigeria kwa ajili ya kufanya kazi na mwanamuziki wa nchi hiyo, Deborah Oluwaseyi ‘Seyi Shay’.
Msanii huyo anayetamba na kibao cha ‘Right Now’, aliwaambia waandishi

MTOTO WA SOKWE ANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUZALIWA KWA UPASUAJI

LAYIII



MA BIBI NA MABWANA NIMEKUSOGEZEA NGOMA MPYAA KABISA YA DRAKE NA RIHANNA HAPA


LAYIII



CHUKUA MUDA WAKO KUITIZAMA VIDEO YA HAWA VIJANA WETU

SAMSUNG WAMEZINGUA SIMU MPYA YA GALAX S7

LAYIII

Samsung Galaxy S7

Kampuni ya kutengeneza simu ya Samsung imezindua simu yake mpya ya kisasa aina ya Galaxy S7 na Galaxy S7 Edge.

Kampuni hiyo ya kutokea Korea Kusini imezindua simu hizo mbili ilikukabiliana na upinzani mkali kutoka kwa kampuni ya simu ya Apple.

advertise here