Tuesday 23 February 2016

MTOTO WA SOKWE ANAENDELEA VIZURI BAADA YA KUZALIWA KWA UPASUAJI

LAYIII



 

Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani,kisa cha hivi majuzi kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.
Sokwe huyo aliye na siku 11 alizalishwa na Professa David Cahill ambaye amewazalisha wanawake wengi kupitia upasuaji ,lakini ilikuwa mara yake ya kwanza kumzalisha sokwe.
”Mbali na kuwa na watoto wangu,huu ni ufanisi mkubwa kwangu,kitu ambacho sitoweza kusahau tena,”alisema.



Aliulizwa maoni yake baada ya mamaake sokwe huyo kwa jina Kera kuugua ugonjwa wakati ambapo alikuwa karibu kujifungua.
Chanzo: BBC.


No comments:

Post a Comment

advertise here