Wednesday 16 November 2016

DONALD TRUMP AZIKATAA DOLA 400,000 ZA MSHAHARA WA RAIS..ADAI ATAJILIPA DOLA 1 KWA MWAKA

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema hataki kulipwa mshahara wa rais wa $400,000 atakapochukua hatamu Januari mwakani. Badala yake atakuwa akilipwa dola moja ya Marekani ($1) pekee kila mwaka  sawa na shilingi 2000 ya kitanzania.

advertise here