Friday 17 June 2016

TAARIFA YA KUZINGIRWA NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA, CHANZO HASA NI NINI? BOFYA HAPA

SUBSCRIBE HAPA
Taarifa ya kuzingirwa nyumba ya Askofu Gwajima, chanzo hasa ni nini? Bofya hapa
Watu sita wanaodhaniwa kuwa askari wa Jeshi la Polisi, wamevamia na kuizingira nyumba ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini, Josephat Gwajima.
Tukio hilo linadaiwa kutokea jana mchana katika makazi ya askofu huyo yaliyoko eneo la Salasala, Dar es Salaam.
Inadaiwa watu hao walifika nyumbani kwa askofu huyo wakiwa katika gari aina ya Toyota Land Cruiser, na kwenda kugonga geti ili wafunguliwe waingie ndani.
Picha mbalimbali zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii jana, ziliwaonyesha

advertise here