Wednesday, 19 August 2015
MISS TANZANIA YASAMEHEWA RASMI
LAYIII

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka
December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka
NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA MECHI YA Man United Vs Club Brugge (Picha&video)
LAYIII
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi
Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya
kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la
klabu bingwa barani Ulaya, michezo iliochezwa ni pamoja na mchezo
ambao umewakutanisha Manchester United dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya Club Brugge nchini Ubelgiji katika uwanja wa Jan Breydel wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 29,472, mchezo umemalizika kwa klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-1 magoli ya
Subscribe to:
Posts (Atom)