Wednesday 19 August 2015

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA KAULI YA ZARI .............HAKUNA CHA DNA HAPA

layiii

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 20,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines

MANENO YA DIAMOND KUHUSU SMS ALIZO MTUMIA WEMA

LAYIII
Diamond AyoTVIlikua August 17 2015 Dar es salaam kwenye birthday party ya Rommy Jones ambaye ni ndugu wa mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz vilevile ndio official Dj wake ambapo vilevile AyoTV

MISS TANZANIA YASAMEHEWA RASMI

LAYIII

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA MECHI YA Man United Vs Club Brugge (Picha&video)

LAYIII
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya, michezo iliochezwa ni pamoja na mchezo ambao umewakutanisha Manchester United dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
1363998392555
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya Club Brugge nchini Ubelgiji katika uwanja wa Jan Breydel wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 29,472, mchezo umemalizika kwa klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-1 magoli ya

KIPINDU PINDU CHATISHIA DAR

LAYIII

10
HABARILEO
Mbunge wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa

advertise here