Saturday 18 April 2015

UNAIKUMBUKA HII......... AY NDIYE WAKALA WA GODFATHER WA AFRIKA KUSINI

NA SWAXBZ LAYIIII





Ambwene Yassaya-AY
Ambwene Yassaya-AY
Mkali wa mziki wa kizazi kipya Tanzania Ambwene Yesaya-AY anayetamba kwa kibao chake cha ‘Asante’ ndiye wakala wa muongozaji Godfather mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini.
AY amesema msanii yeyote wa Afrika Mashariki anayehitaji kufanya video chini ya muongozaji huyo ni lazima apitie kwake kwani yeye ndiye wakala wake hapa Afrika Mashariki.
Alisema… “Huwezi kufanya video na Godfatherni lazima utapita kwangu na utalipa gharama zote kwangu kwani tumeingia deal pamoja.”

ALICE WA THT APATA KI------;;;;;;; JUKWAAANI

NA SWAXBZ LAYIIII
 IMG-20140508-WA0001
Kulikuwa na story nyingi kwenye Hekaheka.. kukawa na ugeni wa msanii wa THT, anaitwa Alice  akasimulia Hekaheka yake aliyokutana nayo akiwa kwenye show.

NEY WA MITEGO HOI

NI BAADA YA MAJIBU YA DNA YA MTOTO ANAYEDAIWA KUWA NA BABA MWINGINE EMBU FUATILIA HATUA KWA HATUA HAPA

NA swaxbz layiiiii

Majibu ya Nay wa Mitego baada ya kupima vipimo vya DNA kwa mtoto wake yametoka.

neyBaada ya

JINSI RAIA WALIVO HAHA KUHAMA BAADA YA MACHAFUKO AFRIKA KUSINI

SWAXBZ LAYIIII
Maandamano ya kupinga ghasia dhidi ya wageni yalifanyika mjini Durban.
Raia wa kigeni wakitoa bidhaa katika maduka yao kufuatia kushambuliwa na wenyeji.

advertise here