Saturday 18 April 2015

ALICE WA THT APATA KI------;;;;;;; JUKWAAANI

NA SWAXBZ LAYIIII
 IMG-20140508-WA0001
Kulikuwa na story nyingi kwenye Hekaheka.. kukawa na ugeni wa msanii wa THT, anaitwa Alice  akasimulia Hekaheka yake aliyokutana nayo akiwa kwenye show.

Alice anasema siku hiyo alikuwa amevaa viatu virefu kumbe kiatu kimoja kilikuwa na tatizo kwenye kisigino.. basi wakati anaendelea na show akaona bora aendelee kuimba huku akiwa amesimama sehemu moja mashabiki walio.
Ishu ikawa pale msanii mwenzake ambaye alikuwa anaimba nae akamfuata akamshika, kwa bahati mbaya akateleza, akaanguka.. watu walibaki tu wanashangaa kinachoendelea.

No comments:

Post a Comment

advertise here