Wednesday 30 September 2015

MILIONEA ALIYEKIJENGA KISASA KIJIJI ALICHOZALIWA

layiii
ImageProxy
Milionea Xiong Shuihua akijisomea

NYUMBA 15 ZA MASTAA ZILIZOONGOZA KWA UFAHARI HADI KUFIKIA NOV.2013

layii
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika biashara.

Hizi ni safari ndefu zaidi za Ndege Duniani, unakaa mpaka saa 17 angani mtu wangu.. (+Pichaz)

LAYIII

Unaweza ukaona safari ya kutoka Mwanza mpaka Dar es Salaam ni ndefu kwa sababu unatumia kati ya saa 12 mpaka 16 ndani ya basi, lakini kwa Usafiri wa Ndege ni kama saa moja tu hivi unakuwa umemaliza safari !!
Sasa hizo saa za kukaa kwenye basi safari ya Mwanza-Dar kuna watu wanazitumia wakiwa angani kwenye Ndege… Nimezipata Rekodi Mitandaoni, zinaonesha safari kumi za Ndege ambazo wasafiri

ABILIA KAKOSEA MLANGO WA NDEGE KATAKA KUFUNGUA WA KUTOKEA NJE AKATI NDEGE IKO ANGANI KILICHO MKUTA STORI NYINGINE

LAYIII
Ndege ya Shirika la KLM ilikuwa katikati ya safari kutoka Edinburgh kwenda Amsterdam, Uholanzi… ilibaki kidogo mambo yaharibike katikati ya safari.. abiria mmoja akakosea mlango, badala ya kufungua mlango wa kuingia chooni, yeye akaenda moja kwa moja kwenye mlango wa kutokea nje huku ndege ikiwa juu angani na safari inaendelea !!

advertise here