Saturday 26 March 2016

WAGOMBEA URAHISI MAREKANI WAGOMBANA KISA WAKE ZAO

LAYIII
Chanzo na bbc wahili
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Wagombea wa urais nchini Marekani kupitia tiketi ya chama cha Republican Ted Crus na Donald Trump walirushiana cheche za matusi katika mjadala  

Wagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake zao.
Seneta wa Texas, Ted Cruz, amemlaumu mpinzani wake, mfanyabiashara Donald Trump kwa kuzusha uvumi kuwa yeye alikuwa mzinifu na kumdanganya mkewe, Heidi.

RONALDO ASHINDWA NA PENALTI

LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NAMI YOUTUBE
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo alikosa penalti kwa mara ya pili mfululizo huku timu yake Portugal ikipoteza nyumbani dhidi ya Bulgaria katika mechi ya kirafiki.
Marcelinho alifunga bao lake la kwanza na hivyobasi kuwapatia wageni hao uongozi katika kipindi cha kwanza alipofunga kupita pasi nzuri.
Portugal ilitawala mechi hiyo lakini mlinzi wa Bulgaria Leiria alikataa katakata kuwapisha washambuliaji wa

KAMA HUKUJUA VIDEO ZA JUSTIN BIEBER ZATAZAMWA MARA BILION 10 MTANDANION

LAYIII
BONYEZA PICHA NJOO YOUTUBE KUCHEKI VIDEO KALI
 https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10.
Msanii huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba alipata idadi hiyo katika kipindi cha miaka sita na miezi mitatu au siku 2,316.
Kutazamwa kwa video zake mara bilioni 4 kulifanyika baada ya Septemba mwaka jana na mwanamuziki

JE UNAJUA KUHUSU KANISA JIPYA LA BEYONCE ( THE NATIONL CHURCH OF BEY )

LAYIII
Msanii Beyonce knowles wa marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "THE CHURCH OF BEY"
bonyeza picha kushuhudia na usiache kujiunga nami youtube  bofya picha yoyote
https://www.youtube.com/watch?v=ZtE2B6YNhBk
    means church of Beeyonce Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother  bey"

advertise here