Tuesday 4 April 2017

KITILA MKUMBO KAFUNGUKA YAFUATAYO BAADA YA KUTEULIWA NA RAIS




Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Kitila Mkumbo amemshukuru Rais Magufuli kwa kumteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo akichukua nafasi ya Mhandisi Mbogo Futakamba ambaye amestaafu.

JAKAYA KIKWETE 'ZAMU YANGU KUMUUNGA MKONO MKE WANGU'






Dkt Kikwete: Zamu yangu kumuunga mkono mke wangu



Rais Mstaafu wa awamu wa nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema ameshuhudia kiapo cha Mke wake, Mama Salma Kikwete baada ya kuteuliwa hivi karibuni kuwa mbunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Rais huyo mstaafu alifuatana na baadhi ya familia yake na kushuhudia mkewe akila kiapo hicho katika bunge lililoanza leo mjini Dodoma huku akisema kuwa ni zamu yake sasa kumuunga mkono

advertise here