Wednesday, 1 July 2015
MAISHA CLUB MPYA YA DAR YAFIKIA HAPA
LAYIII
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi… hapa ninazo picha 11

millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi… hapa ninazo picha 11
Ujenzi wa Maisha Club mpya Dar es Salaam umefikia hapa (Pichaz)
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
AJARI YA BASI NA TRENI MOROGORO MAJERUHI NA WALIYO KUFA NIFATE HAPA MTU WANGU
LAYIII
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Ajali ya Treni na basi la abiria Morogoro, kuna majeruhi na waliofariki.. #RIP
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01
2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria
ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.
Liverpool yakamilisha usajili wa mchezaji wa sita leo hii.
LAYIII
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino wiki iliyopita.
wiki iliyopita.
Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya uhamisho ya £12.5m, na mchezaji huyo leo amesaini mkataba wa miaka 5.
“Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne aliuambia mtandao wa Liverpool.
“Mara tu baada ya Liverpool kuonyesha kunihitaji, Nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.”

Clyne, ambaye alikuwa amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino wiki iliyopita.
wiki iliyopita.
Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya uhamisho ya £12.5m, na mchezaji huyo leo amesaini mkataba wa miaka 5.
“Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne aliuambia mtandao wa Liverpool.
“Mara tu baada ya Liverpool kuonyesha kunihitaji, Nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.”
Clyne, ambaye alikuwa amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.
NUSU NUSU YA JOMAKINI SASA IKO JUU KATIKA MTV BASE
LAYIII
GoodNews ni hapa ilipofikia #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
GoodNews ni hapa ilipofikia #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV Base.
WATU WANGU WA MIELEKA ROCK KAWEKA WAZI SABABU ZA KUUACHA MCHEZO HUO
LAYIII ON SPOT
Dwayne Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action Hollywood, Marekani.
The Rock ameweka wazi sababu za yeye kuacha mchezo wa mieleka…
Dwayne Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action Hollywood, Marekani.
ICHEKI ILE GARI AMAIZING MTU WANGU
LAYIII
Katika magari yaliyo nifurahisha leo basi na hili moja wapo huna haja ya kuwa na boti
Ni
dunia yenye vitu vingi na ubunifu mwingi kwenye kila kona ya kitu
unachokijua, yaani kuna watu kila siku wanaumiza vichwa kutengeneza pesa
kwa njia ya kiubunifu zaidi ambapo hii ya magari yanayoweza kutembea
juu ya maji ni mojawapo.
Katika magari yaliyo nifurahisha leo basi na hili moja wapo huna haja ya kuwa na boti
Ni pesa yako tu! utanunua hata hili gari linalotembea barabarani na juu ya maji baharini.
#MAGAZETINI JULY1..Maiti yatoa jasho na kutikisika, Bei ya Petrol haishikiki na kidato cha 5 wakosa nafasi.
LAYIII
Hali ya sintofahamu imeibuka katika eneo la Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo baada ya mwili wa marehemu Hatujuani Shaaban
kushindikana kuzikwa kutokana na ndugu zake kudai ulikuwa ukitokwa
jasho, kutingisha miguu, kichwa na mikono wakati ukitayarishwa kwa
maziko.
Kutokana na hali hiyo mwili huo ambao
ulikuwa uzikwe jumapili uliachwa hadi jana baada ya daktari kuitwa na
kuishauri familia, ndipo zoezi la mazishi likafanyika.
MJUE MCHEZAJI ALIYE SABABISHA WAANDISHI WA HABARI KUJAA YANGA
LAYIII
Baada ya Uongozi wa Klabu ya Kimondo inayoshiriki ligi daraja la kwanza kudai mshambuliaji GEOFREY MWASHIUYA ni mali yao, Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo baada ya kukamilisha usajili wake.
Baada ya Uongozi wa Klabu ya Kimondo inayoshiriki ligi daraja la kwanza kudai mshambuliaji GEOFREY MWASHIUYA ni mali yao, Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo baada ya kukamilisha
Baada ya Uongozi wa Klabu ya Kimondo inayoshiriki ligi daraja la kwanza kudai mshambuliaji GEOFREY MWASHIUYA ni mali yao, Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo baada ya kukamilisha usajili wake.
Mchezaji aliyetokea ligi daraja la kwanza na kufanya Yanga iwaite Waandishi wa habari
Subscribe to:
Posts (Atom)