Saturday 2 July 2016

HILI NDIO TAMKO LA PAUL MAKONDA KUHUSIANA NA UVUTAJI SIGARA PAMOJA NA MASHOGA WALIOKO JIJINI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza vita na makaka poa (mashoga) na madada poa (makahaba) walioko jijini Dar es Salaam kuwa utaendeshwa msako mkali wa kuwaondoa.

Mkuu wa Mkoa huyo aliyasema hayo kufuatia hali ya vitendo hivyo visiyokubalika na jamii kuzidi kushamiri na kuwa kuna hatari kubwa ya watoto wadogo kuiga vitendo

advertise here