Friday 17 February 2017

BARABARA YA KONGWA ARUSHA KUJENGGWA KWA KIWANGO CHA LAMI

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaanza kufanya upembuzi na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha – Kiteto – Kongwa ili ijengwe kwa kiwango cha lami.

Alitoa kauli hiyo juzi wakati akizumgumza na mamia ya wakazi wa mji wa Orkesumet, wilayani Simanjiro akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Manyara.

Alisema serikali imepanga kuiombea fedha za kazi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa km 430 kwenye mkutano ujao wa bajeti na kwamba imepanga kutafuta wakandarasi wengi na kuwagawa kwa vipande ili barabara hiyo ijengwe kwa kipindi kifupi.

“Barabara yenu nimeiona. Imo kwenye Ilani ya CCM. Ujenzi wake utaanzia Arusha –Mbauda –

NAPE AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KWENDA NA WAKATI...ZAMA ZIMEBADILIKA



SERIKALI imesema sekta ya habari inakabiliwa na changamoto katika uwasilishaji wa taarifa kwa umma kunakotokana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia hivyo kuwataka wadau kujitahidi kwenda na wakati hasa kwa upande wa redio ili wasipitwe na wakati.

VILOBA KWISHA HABARI YAKE TANZANIA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuanzia Machi Mosi, mwaka huu Serikali itapiga marufuku pombe kali maarufu kwa jina la ‘viroba’.

Ametoa kauli hiyo wakati akizumgumza na maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Mererani, wilayani Simanjiro akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Manyara.

“Kuanzia tarehe 1 mwezi 3 ni marufuku kuzaliwa viroba , tutakae mkuta na viroba sisi na yeye, wanaotengeneza pombe watengeneze pombe waziweke katika ukubwa unaokubalika. Sasa hivi viroba

advertise here