Monday 7 September 2015

Magazeti ya Tanzania Septemba 8, 2015.. Udaku, michezo na hardnews ! (na millardayo)

layiii

.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada

HAHAHAHA KWELI UKOMEDI UNAMPELEKA KINGWENDU BUNGENI

LAYIII










Mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe kupitia Cuf, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ juzi alikuwa kivutio wakati akitambulishwa na mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri, Juma Duni Haji.

advertise here