Wednesday 29 June 2016

ULIIKOSA ILE STORY YA RAIS KUWARUHUSU WAFANYAKAZI KWENDA KAZINI UCHI SOMA HAPA MTU WANGU

 Mkazi wa Belarusia akiwa ofisini.

Na Leonard Msigwa
BAADHI ya wananchi wa Belarusia wamekuwa wakienda makazini wakiwa uchi, na baadhi yao wakitupia picha mtandaoni zikiwaonyesha wakiwa uchi kutimiza kauli ya rais wao aliyoitoa siku za hivi karibuni.

KUMBE MUHIMBILI KUNA KITENGO CHA KUHUDUMIA :MASHOGA AFUNGUKA KUPITIA TAKE ONE AND ACTION

Hii nimeisikia jana kupitia kijana mmoja shoga aliyekuwa akihojiwa katika kipindi kimoja kwenye tv. Alijiweka bayana sana na hakuficha jambo, kitu kilichonistaajabisha kwa uwazi wake. Hata changudoa si rahisi kujianika kiasi kile.

Akasema Muhimbili wana kitengo chao cha kuhudumiwa. Kwamba hupewa mafuta ya ky, kondom, sabuni, hasa za kusafishia kinywa baada ya blow job, n.k. Hiki kitengo

CLOUDS TV YAJIKUTA KWENYE KITIMOTO KWA KURUSHA KIPINDI KUHUSU USHOGA, MAKONDA AWATETEA

Clouds TV ipo kwenye kitimoto baada ya kipindi chake cha Take One kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema kumhoji shoga maarufu jijini Dar es Salaam.


Pamoja na Zamaradi kudai kuwa na nia njema ya kumhoji mtu huyo kwa madai suala hilo limekuwa tatizo nchini na ni muda wa kulizungumzia bila kificho, Watanzania wengi wameonesha kupinga kwa madai kuwa kipindi hicho kimetumika kulitangaza zaidi tatizo hilo.

advertise here