Friday 24 March 2017

MAGUFULI AONYA WAMILIKI WA MAGAZETI,




RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amechukizwa na mwenendo wa utendaji kazi wa vyombo vya habari hususan magazeti, akiwaonya wamiliki wa vyombo hivyo vya habari katika hali inayotafsirika kuwa kulenga “kuwashughulikia”.

RAIS JOHN MAGUFULI: NIKISEMA UKWELI, WATANZANIA WENYE UCHUNGU MTALIA!!!




Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, jana alifanya yale ambayo huwa anayapatia kweli kweli!! 

Kwa kutumia umahiri mkubwa kabisa, bila shaka aki-apply mbinu za kijeshi alizowahi kujifunza JKT, Mheshimiwa Magufuli aliingia bandarini kwa kushitukiza hali iliyowafanya watu wa pale wapigwe

WAZIRI MWIGULU NCHEMBA: NAPE NNAUYE SIYO JAMBAZI,HANA RECORD YA UHALIFU...NAAGIZA ASKARI ALIYEMTOLEA BASTOLA ACHUKULIWE HATUA


Kufuatia tukio la mtu mmoja aliyedaiwa kuwa ni Askari kumtishia Mbunge Nape Nnauye kwa kutumia bastola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amesema tukio lile halikuwa sahihi na kuagiza hatua zichukuliwe.


Waziri Mwigulu Nchemba ambaye ndiye mwenye dhamana ya kusimamia usalama wa raia na mali zao amesema kuwa, Nape Nnauye si jambazi, hakuwahi kuwa na taarifa za uhalifu, sasa kwanini mtu amtishe kwa bastola tena mbele ya umati mkubwa uliojaa waandishi wa habari?

advertise here