Friday 29 April 2016

BARA BARA TANO HATARI DUNIANI

LAYIII
 PICHA YOYOTE UKIBONYEZA HAPA UTAPATA NAFASI YA KUJIUNGA NA IQOPTION

KIPYA CHAZUKA KUHUSIANA NA KIFO CHA PAPA WEMBA TIZAMA VIDEO HIII

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJUA ZAIDI VIDEO IKO HAPO CHINI 
http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704
Taarifa  ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea
Kipande cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka inadaiwa jamaa yuleyule badala

MGOMBEA URAIS MAREKANI ASHINDWA KUTAMKA NENO TANZANIA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII UJISAJIRI NA IQOPTION KUTENGENEZA PESA VILE UWEZAVYO
Trump
Mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amekejeliwa mtandaoni baada ya kuonekana akiboronga akitamka Tanzania wakati wa kutoa hotuba.
Bw Trump alikuwa akizungumzia mashambulio ya kigaidi yaliyotekelezwa katika mabalozi ya Marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 wakati wa kuzungumzia sera yake ya kigeni.
Badala ya kutamka vyema ‘Tanzania’ anasikika akitamka ‘Tan-zay-nia’.

KUMBE ARSERNAL WENGER ALIPOTEZA TAJI LA LIGI NYUMBANI

LAYIIII

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa timu yake ilipoteza harakati za kushinda ligi wakati wa kucheza mechi za nyumbani dhidi ya timu zilizo chini ye jedwali.
Arsenal iliopo katika nafasi ya nne imeshinda mechi sita kati ya mechi 16 ilizocheza.
Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.

MBADALA WA SHIKA ADABU YAKO NA NAY WA MITEGO UMEACHILIWA

LAYIIII
Nay wa Mitego:naachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na (BASATA).
Rapa elibariki Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’ amesema kuwa mwanzoni mwa mwezi ujao ataachia wimbo mpya ambao ni mbadala wa ‘shika adabu yako’ uliofungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA).
Msanii huyo alisema kuwa anatarajia wimbo huo mpya ambao bado hajaupa jina utapendwa na mashabiki wa miziki wa kizazi kpya kutokana na mashairi yake kuyapangilia vyema.
“Mei 9 mwaka huu nitaachia wimbo na video ya wimbo wangu mpya ambao ninaamini kuwa ni mkali kuliko

advertise here