Friday 29 April 2016

KUMBE ARSERNAL WENGER ALIPOTEZA TAJI LA LIGI NYUMBANI

LAYIIII

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa timu yake ilipoteza harakati za kushinda ligi wakati wa kucheza mechi za nyumbani dhidi ya timu zilizo chini ye jedwali.
Arsenal iliopo katika nafasi ya nne imeshinda mechi sita kati ya mechi 16 ilizocheza.
Baadhi ya mashabiki wamemtaka raia huyo wa Ufaransa kuondoka katika mechi za hivi karibuni.

Ni lazima tujue kwamba ugenini tumekuwa washindi .


Lakini nyumbani dhidi ya timu ndogo tulipoteza pointi nyingi,alisema Wenger.
Maandamano zaidi yanatarajiwa wakati wa mechi ya Jumamosi katika uwanja wa Emirates dhidi ya Norwich.



No comments:

Post a Comment

advertise here