Thursday 24 March 2016

ZITTO KABWE AFUNGUKA TENA KUHUSU RUSHWA KAMATI YA BUNGE AWATAJA TAKUKURU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

Zitto juzi alitangaza kujiuzulu katika Kamati Bunge Huduma za Jamii aliyokuwa akihudumu kwa madai ya baadhi ya wajumbe kupokea rushwa.

Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa 'Facebook' Mbunge Zitto amesema kwamba hatua inayochukuliwa na TAKUKURU ni hatua nzuri itakayopelekea ukweli kujulikana na watakaokutwa na makosa kuchukuliwa hatua stahiki.

YANGA YAJIANDAA KUKABILIANA NA AL AHLY

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
Yanga
 Kikosi cha Yanga
Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm, amesema atahakikisha wanafanya maandalizi mazuri kuweza kuikabili timu ya Al Ahly ya Misri katika mchezo wa Raundi ya Pili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika .
Yanga imefuzu hatua hiyo baada ya kuitoa APR ya Rwanda kwa jumla ya mabao 3-2 kwa mechi

ULIKOSA KULIONA GOLI LA SAMATTA NIMEKUWEKEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE
March 23 2016 Taifa Srars ilicheza na Chad katika uwanja wa Idriss Mahamat Chad, Taifa Stars ikiwa ugenini, ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na nahodha wa timu hiyo Mbwana Samatta dakika ya

advertise here