Saturday 15 August 2015

TUDDY THOMAS KARUHUSIWA KUTOKA HOSPITAL NI BAADA YA KUPIGWA NA WEZI

LAYIII

2mgflIjumaa usiku wa July 31 ni siku ambayo Producer wa bongofleva wa hits kama mdogomdogo ya Diamond Platnumz, Tudd Thomas alivamiwa na wezi na kumshambulia kisha kumuibia vitu alivyokua navyo usiku huo

advertise here