Monday 28 March 2016

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA OFFICIAL HAPPYNESS MY DADY

LAYIII
huwei acha kuskiliza wimbo huu kama mpenzi wa miondoko hii
https://www.youtube.com/watch?v=esy9_7JKdjk

DOWNLOAD AUDIO MPYA YA DOGO ANAYEJIITA AGOO GIBRATINO DOGO KUTOKA ARUSHA

LAYIII


ULIPITWA NA VIDEO MPYA YA DOGO JANJA HII HAPA

LAYIII

DOWNLOAD VIDEO MPYA YA ADAMORE KIJANA ANAYEKUJA KWA KASI KATIKA ANGA YA BONGO FLEVA

LAYIII
Kijana anayekuja kasi katika tasnia ya music Tanzania

WALIOKATA TIKETI ZA CHAD KUREJESHEWA PESA ZAO

LAYIII
Taifa StarsWachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania 
Mashabiki wa soka waliokuwa wamenunua tiketi za mechi kati ya timu ya taifa ya Tanzania na Chad ambayo imetibuka watarejeshewa fedha zao.
Rais wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) Jamal Malinzi amesema utaratibu unawekwa kuwarejeshea mashabiki pesa zao.
Timu ya taifa ya Chad ‘Les Sao’ ilijiondoa katika michuano ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) itakayofanyika mwaka 2017 nchini Gabon kutokana na matatizo ya kifedha.

CHAD YAJIONDOA, TANZANIA MASHAKANI

LAYIII

CAF: Chad yajiondoa mashindanoni na kuicha Tanzania Taifa Stars mashakani  
Chad imejiondoa kutoka kwenye kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika linalotarajiwa kufanyika mwakani huko Gabon.
Shirikisho la soka la Chad limefikia kauli hiyo kutokana na ukosefu wa fedha.
Katika barua iliyotumwa kwa shirikisho la soka la Tanzania,mwenyekiti wa shirikisho la soka la Chad

RAC ANASWA KAZIMIKA

LAYIII






























Ray C akiwa hoi na kinachodaiwa kuwa ni utumiaji wa madawa ya kulevya.
Stori:  Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: LICHA ya kutumia nguvu nyingi kukanusha habari zinazochapishwa na Magazeti Pendwa ya Global Publishers kuwa, amerejea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amenaswa ‘laivu’ akiwa ‘ameangusha gari’ kando ya barabara, habari ndiyo hiyo!
Ray C ambaye kila anapoandikwa na Magazeti ya Global kuhusu kurejea kwenye unga, amekuwa

advertise here