Mchekeshaji
na mshindi wa Big Brother 2014 Idris Sultan amedai katika tasnia ya
filamu, mrembo Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye msichana mwenye sifa ya
kumuoa.
Idris
ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Wema Sepetu na baadae kuachana,
ameiambia 255 ya XXL ya Clouds FM kuwa Lulu ndiye msichana ambaye
anahisi ametulia.
“Mimi
naona Elizabeth Michael ametulia sana,” alisema Idris. “Ni staa ambaye
namuona
MKE
wa Donald Trump, Melania Trump, anakuwa mwanamitindo wa kwanza kuingia
Ikulu ya Marekani baada ya mume wake jana kuchaguliwa kuwa rais wa
nchini hiyo.
Shughuli kubwa ya Melania ni pamoja na kushughulikia masuala yanayohusu ustawi wa jamii na familia kwa ujumla.
Hata
hivyo, wajibu huo haujabainishwa kuwa rasmi, lakini mke huyo wa rais
anatarajia