Monday 7 March 2016

DAKIKA 20 ZA DIAMOND PLATNUMZ NA KANYE WEST

LAYIII
VIDEO BONYEZA PICHA HIII
Diamond (2) Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  na rapa maarufu wa Marekani, Kanye West.
Stori: Musa Mateja, Wikienda
DAR ES SALAAM: Kutoka Tandale hadi Marekani! Staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  melidokezea Ijumaa Wikienda kilichojiri kwa takriban dakika 20 alipokutana uso kwa uso na rapa  kubwa duniani wa Marekani, Kanye West.
UWANJA WA NDEGE LOS ANGELES
Diamond alikutana na Kanye West kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles wa LAX nchini Marekani wakati akisubiri ndege kuelekea Las Vegas kwa ajili ya shoo na kazi zake za kimuziki.

advertise here