Thursday 16 July 2015

CHEKI UJIO WA OBAMA NCHINI KENYA

LAYIII


Zimebaki siku kadhaa nchi ya Kenya kutembelewa na Rais wa taifa lenye nguvu kubwa Duniani, nchi ya Marekani Barack Obama.
IMG-20150715-WA0031
Gari zikishushwa kwenye ndege, maandalizi ya safari hiyo ya Rais Obama nchini Kenya.

AAMUA KUTUWISHA NDEGE YAKE BARABARANI

LAYIII

Mambo yalivyoharibika Rubani ilibidi aishushe ndege katikati ya barabara na magari yanapita.. Ona pichaz na video

11140244_905720162820481_1506951124395673716_n
Japo kumekuwa na stori nyingi zinazohusu ajali za ndege, bado sifa ya kuwa usafiri salama namba moja duniani haijaharibika, nimezipata hizi pichaz na video zinazoonesha Rubani ambaye alijiongea na kuona bora aishushe

Juhudi bila ya Wadau ngumu kutoboa nje – Dayna Nyange.

LAYIII
Mwanamuziki Dayna Nyange ametoa mtazamo wake wa namna gani wasanii wa nyumbani watawezakuvuka mipaka ya nje ya nchi.
Alipokuwa anafanyiwa mahojiano na mwandishi wa timesfm.co.tz Dayna alifunguka kwamba ili wasanii waweze kutoboa ni lazima wawe na Wadau wa nje (connection) kwani wengi wanafanya kazi nzuri lakini kutokuwa na wadau ndio kikwazo.
“Msanii kama Vanessa Mdee leo hii anaanza kuvuka boda ni kwa sababu ya connection ya watu wa nje alionao, kama aliweza kufanya kazi na watu wa MTV sasa kwa nini asifike mbali ukizingatia anafanya kitu kizuri”, alifafanua Dayna.
Dayna alieleza pia kuhusu ujio wa video ya wimbo wake wa Nitulize aliomshirikisha Nay wa Mitego kwamba wataanza kuirekodi siku chache zijazo kwani kuna vitu muhimu wanasubiri kutoka nje ya nchi.
Video hiyo inatarajiwa kurekodiwa hapahapa nyumbani Tanzania, huku akisita kuweka wazi ni kampuni gani ambayo itatengeneza video hiyo na kusema watu wasubiri Surprise.
Dayna mwanamuziki huyu mwenye asili ya huko mkoani Morogoro mwisho alitoa taarifa kwa mashabiki wake wa Tanga wakae sawa kwani anatarajia kuanza show zake mkoani humo kuanzia sikukuu ya Eid

MAPYA YAIBUKA LOWASA KILELENI TENA KISA NI KINGUNGE

LAYIII
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.

#newsflash CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na

MAISHA YA WANAFUNZI HATARINI HUKO BUKOBA................KASHAI, BUKOBA

LAYIII
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kashai, mjini Bukoba,  wakiendelea kuchota maji kwenye mto Kashai karibu na mtaro wa maji machafu.

V MONEY PLATNUMZ TUZO TENA

LAYIII
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.

AEA
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa  na fursa zilizopo kwenye ulimwengu wa burudani Africa.
Star wa muziki wa Bongo Flava Nasseb Abdul “Diamond Plutnums”, ametajwa kuwania tuzo za African Entertainment awards 2015.

Hii ni good news kwa mashabiki wa Azam FC

LAYIII
Jean Baptiste Mugiraneza ni kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyesajiliwa na klabu ya Azam FC msimu huu akitokea klabu ya APR ya Rwanda kwa mkataba wa miaka miwili. Awali taarifa zilitoka kuwa kiungo huyo atarejea Rwanda kujumuika na kuitumikia timu yake ya APR katika mashindano ya kombe la Kagame yatakayoanza july 18 jumamosi hii.
Ila mambo yamekuwa tofauti baada ya klabu ya APR kumruhusu aichezee Azam FC katika mashindano ya kombe la Kagame. APR ambayo ipo kundi B n

WASANII WAJITO KATIKA SIASA

LAYIII

.
.
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fella aka Mkubwa Fella alionesha mapema kabisa leo July 15 amechukua fomu ya kugombea udiwani wa katika mtaa wa Kilungule, Wilaya ya Temeke Dar es Salaam.

advertise here