Sunday 6 December 2015

MADEMU 17 ALIOTOKA NAO CHRISTIAN RONALDO KIM KARDASHIAN YUMO

LAYIII
Vimeandikwa vingi sana kuhusiana na Staa wa soka wa Real Madrid ya Hispania na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, kuhusu kuishi maisha ya kifahari Ronaldo kaandikwa sana, kuhusu watu kuhoji mama wa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 Cristiano Ronaldo Junior ni yupi, hiyo ilikuwa headlines kila kona kuhusu staa huyo.

ULIPITWA NA KISA CHA MWANAMKE ALIYEMWAGIWA MAJI YA MOTO KISA WIVU WA MAPENZI BONYEZA LINK

LAYIII
Bonyeza picha hii kuiona video yake
20131213-141212.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu akipata matibabu hospitalini.
20131213-140854.jpg
Bi. Neema Teti aliyemwagiwa maji ya moto mwili mzima, kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na mume wa mtu.

MJUE KIUNDANI MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU

LAYIII

Mjue mwigizaji wa Filamu ya Yesu ambaye baadhi ya watu hudhani kwamba ndie Yesu

Historia ya mtu ambaye ameigiza filamu ya Yesu inayofahamika kwa jina la ''JESUS'' ambayo iliigizwa mnamo mwaka 1979 huko nchini Israel,na kujipatia umaarufu duniani kote,watengenezaji wa filamu hii wametoa maelezo kua " tumeamua kufanya hivi baada ya kuona ni kwa jinsi gani filamu hiyo imekuwa ikigusa maisha ya watu wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wanasahau kwamba mtu aliyemo kwenye filamu hiyo ni mwigizaji tu na siyo Yesu.
hata yeye amekiri kwamba wakati wa uigizaji alikuwa akisuluhisha mambo yaliyokuwa yakijitokeza yeye na waigizaji wenzake baada ya wao kusahau kwamba yeye si Yesu bali anaigiza tu. 

ULIPITWA NA SAMAKI WA AJABU ALIYE VULIWA UNGUJA MTIZAME HAPA MTU WANGU

LAYIIII
BONYEZA PICHA KISHA JIUNGE NAMI YOUTUBE KUONA VIDEO ZINGINE SUBSCRIBE NAMI MTU WANGU ILI UWE KARIBU NA KILA HABARI INAYO NIFIKIA 
https://youtu.be/w8bqlYRkYP0

advertise here