Saturday 30 April 2016

MADAWA YA KULEVYA NI KWELI YAMEMWANGAMIZA FEROOZ ........... MSKILIZE HAPA

LAYIII
JIUNGE NA MAFANIKIO HAPA http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704
Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.

Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.

JUA ZAIDI KUHUSU SIMU FEKI NA MSIMAMO WA TCRA

LAYIII
UNAWEZA KUJITENGENEZEA PESA MWENYEWE KAMA UTAWEZA KUJIUNGA NA IQOPTION SASA BONYEZA HAPA AU PICHA HII
 http://affiliate.iqoption.com/register?ref_id=32704

advertise here