Tuesday 7 June 2016

MBEGU ZA KIUME ZENYE UKIMWI KUSAFISHWA NCHINI

SUBSCRIBE HAPA
 https://www.youtube.com/channel/UCohoLl9DK4oepzW_GdEL5sA?sub_confirmation=1Dar es Salaam. Wanaume wanaoishi na virusi vya Ukimwi sasa huenda wakapata suluhisho la kupata watoto na wenza wao ambao hawana virusi hivyo, baada ya kuwapo tiba ya kusafisha mbegu za kiume zenye VVU hapa nchini.

Tiba hiyo sasa inapatikana hapa nchini katika hospitali moja iliyo jijini Dar es Salaam, ambayo inatoa huduma za uzazi na upandikizaji wa mimba katika mirija ya uzazi kitaalamu inayojulikana, In Vitro Fertilization,(IVF).

DIAMOND PLATNUMZ| NADHANI WEMA SEPETU ANANIKUBALI KIMYA KIMYA

SUBSCRIBE HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=PYv0tojX3rYAkiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Diamond Platnuzm amesema kitendo alichofanya Wema kupost kazi zake anadhani Wema Sepetu ameanza kumkubali kimya kimya na ameona labda hakuna sababu yeye kuendelea kumchukia Diamond Platnumz, ndiyo maana ameonyesha upendo kwa kusupport kazi zake na za wasanii kutoka kwenye Label yake.

“Kuna wakati inafika watu mnakuwa mmekuwa labda, mtu anaona hana sababu ya kuendelea kukuchukia au kuwa na vita na wewe, sababu mwanzo mwanzo mkiwa bado mnaenda mnaona kuna

WAGONJWA WA SALATANI YA MATITI KUTIBIWA MIAKA KUMI

LIKE PAGE YETU HAPA
BZ TV BONYEZA PICHA HII
https://www.youtube.com/watch?v=8hLupLJKJsw
Utafiti mpya umebaini kuwa wanawake ambao wamewahi kuugua saratani ya matiti huenda wakanufaika na chembechembe zinazozuia ugonjwa huo kwa muda mrefu zaidi kuliko muda wa sasa wa miaka mitano.
Utafiti huo uliofanywa na wanasayansi kutoka Marekani na Canada umebaini kuwa kutumia dawa hizo kwa miaka kumi badala ya mitano unapunguza uwezekano wa saratani hiyo kurejea kwa theluthi moja.

advertise here